VUA GAMBA VAA GWANDA UGAIBUNI
Katika Ufunguzi wa Tawi la CHADEMA London Wanachama mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi walijitokeza kurudisha kadi za CCM na kujiunga rasmi na CHADEMA. Wanachama hao walikabidhiwa kadi za uanachama na Mhe. Lema Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Taifa katika Kampeni Maalumu ya Vua Gamba Vaa Gwanda ukiwa Ugaibuni, Ili kuwapa nafasi watanzania waishio nje ya nchi kulivua Gamba, kuleta mabadiliko , kushiriki katika siasa, na harakati za kulikomboa Taifa kutoka katika utawala wa kifisadi, onyonyaji, uonevu na ahadi za uongo za CCM.
|
Mhe. Lema na Mwenyekiti wa Muda wa Chadema Lodon Chriss Lukosi wakionyesha baadhi ya kadi na Tshirt zilizorudisha na wanachama wa CCM |
|
Mmoja aliyekuwa Mwanachama na Mkereketwa wa CCM toka Mwaka 1984 Ndg. Christopher Chegula akirudisha Tshirt na Kadi ya CCM kwa Mhe. Lema |
|
Mhe. Lema akimkabidhi kadi ya Uanachama wa CHADEMA Christopher Chegula |
|
Bi. Jessca Maduhu akipokea kadi ya uanachama wa chadema kwa furaha kutoka kwa Lema |
|
Mwanachama Mpya akikabidhiwa kadi yake |
|
Jessica akipokea kadi yake ya CHADEMA |
|
Mmoja ya wanachama waliokabidhiwa kadi na Mh Lema |
|
Esther baby Cuthbert akionyesha kadi yake mpya ya Chadema |