Showing posts with label MATUKIO. Show all posts
Showing posts with label MATUKIO. Show all posts

Sunday 2 September 2012

Mh. Mbowe: Sisi sote ni ndugu, vyama vya siasa visitugombanishe, tutangulize Utanzania wetu, watanzania walikuwepo kabla ya vyama vya siasa, Tanzania inachanga moto nyingi kuliko malumbano vya chama vya siasa


Video ya Mkutano wa M4C Reading ulioandaliwa na Chadema UK 26.08.2012


Matukio mbalimbali katika mkutano wa M4C Reading

Mwenyekiti Mh Likosi Akihutubia Mkutano
Katibu wa Chadema UK Kamanda Liberatus Musiba akiwa na Mwenyekiti wakifuatilia mkutano
 
Mh Lukosi na Mweka Hazina Dr Alex  wakimsikiliza kwa makini Kamanda Godbless Lema akihutubia mkutano huo kwa njia ya simu
 
Dr Alex Paurine ambaye pia ni Mweka hazina akihutubia mkutano huo, Dr Paurine alitumia Power Point kuonyesha picha na matukio yanayoonyesha hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi.
 
Ndg Aseri Katanga Mwenyekiti wa bodi ya Computer for Africa akihutubia

Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Chadema UK Bi Jessica Maduhu akielezea masikitiko yake juu ya huduma mbovu za afya na kero wanazozipata wanawake wajawazito wakati wa kujifungua na huduma za afya kwa watoto.

Gerald Lusingu, Mmoja wa wenyeji wa Mkutano wa M4C Reading na aliyechaguliwa kuwa mwakilishi wa M4C Reading akiwasalimia wananchi 

Dr Lusingu akitoa Historia ya Harakati za Mabadiliko na Mageuzi katika nchi yetu, huku akifuatiliwa kwa makini na Katibu wa wanawake Bi Margaret Malekia, Katibu Mh Liberatus na Mwenyekiti Mh Lukosi 
Engineer Prudence Kahatano akichambua matokeo ya azimio la Zanzibar lililovunja azimio la Arusha na madhara ya soko huria kwa Watanzania
 

 Wadau Mbalimbali katika Mkutano

 


 Wanachama mbali mbali wakikabidhiwa kadi za Chadema na Mwenyekiti wa Chadema UK Mh Chriss Lukosi

Ndg Wambura akivalishwa Gwanda na Kupewa kadi ya Chadema na Mwenyekiti Mh Lukosi





Monday 13 August 2012

MATUKIO MBALI MBALI KATIKA SIKU YA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON

VUA GAMBA VAA GWANDA UGAIBUNI

Katika Ufunguzi wa Tawi la CHADEMA London Wanachama mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi walijitokeza kurudisha kadi za CCM na kujiunga rasmi na CHADEMA. Wanachama hao walikabidhiwa kadi za uanachama na Mhe. Lema Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema Taifa katika Kampeni Maalumu ya Vua Gamba Vaa Gwanda ukiwa Ugaibuni, Ili kuwapa nafasi watanzania waishio nje ya nchi kulivua Gamba, kuleta mabadiliko , kushiriki katika siasa, na harakati za kulikomboa Taifa kutoka katika utawala wa kifisadi, onyonyaji, uonevu na ahadi za uongo za CCM.


Mhe. Lema na Mwenyekiti wa Muda wa Chadema Lodon Chriss Lukosi wakionyesha baadhi ya kadi na Tshirt zilizorudisha na wanachama wa CCM
Mmoja aliyekuwa Mwanachama na Mkereketwa wa CCM toka Mwaka 1984 Ndg. Christopher Chegula akirudisha Tshirt na Kadi ya CCM kwa Mhe. Lema
Mhe. Lema akimkabidhi kadi ya Uanachama wa CHADEMA Christopher Chegula

Bi. Jessca Maduhu akipokea kadi ya uanachama wa chadema kwa furaha kutoka kwa Lema

Mwanachama Mpya akikabidhiwa kadi yake

Jessica akipokea kadi yake ya CHADEMA

Mmoja ya wanachama waliokabidhiwa kadi na Mh Lema

Esther baby Cuthbert akionyesha kadi yake mpya ya Chadema



VIONGOZI WA MPITO WALIOCHAGULIWA KULIONGOZA TAWI LA CHADEMA LONDON

Mkutano wa ufunguzi wa Tawi la Chadema London ulikwenda sambamba na uchaguzi wa viongozi wa mpito wa Tawi watakao ratibu na kusimamia shughuli  mbalimbali za chama kwa muda, uchaguzi uliongozwa na kusimamiwa na Mh Godbess Lema ambaye ni mjumbe wa Baraza Kuu la Chadema Taifa.
Viongozi waliochanguliwa kuratibu na  kuongoza shughuli za  chama kwa muda ni wafuatao;

Chris Lukosi - Mwenyekiti

Chadema UK Ndani ya Milton Keynes

DAR NI SISI - VIDEO MAISHA YA WANADAR HATA BAADA YA MIAKA50 YA UHURU