Monday 13 August 2012

VIONGOZI WA MPITO WALIOCHAGULIWA KULIONGOZA TAWI LA CHADEMA LONDON

Mkutano wa ufunguzi wa Tawi la Chadema London ulikwenda sambamba na uchaguzi wa viongozi wa mpito wa Tawi watakao ratibu na kusimamia shughuli  mbalimbali za chama kwa muda, uchaguzi uliongozwa na kusimamiwa na Mh Godbess Lema ambaye ni mjumbe wa Baraza Kuu la Chadema Taifa.
Viongozi waliochanguliwa kuratibu na  kuongoza shughuli za  chama kwa muda ni wafuatao;

Chris Lukosi - Mwenyekiti


Liberatus Musiba- Makamu Mwenyekiti
Christopher Chegula - Katibu Mwenezi
  Dr. Alex Paurine- Mweka hazina
E.R. Lunyama - Katibu wa Vijana
Bi Jessca Maduhu- Mwenyekiti Baraza la Wanawake
Margaret Malekia- Katibu Baraza la Wanawake
Rodwell Lugano

Chris Swai- Think Tank  Team Member

Archie Mbade- Think Tank Team Member


Viongozi wengine waliochanguliwa ni paomja Johnstone Malunda Mwenyekiti wa Vijana na Bw. Edmund Marealle aliyechaguliwa kuwa mjumbe wa kamati kuu

No comments:

Post a Comment

Chadema UK Ndani ya Milton Keynes

DAR NI SISI - VIDEO MAISHA YA WANADAR HATA BAADA YA MIAKA50 YA UHURU