Showing posts with label LUNINGA YA UMMA. Show all posts
Showing posts with label LUNINGA YA UMMA. Show all posts
Thursday, 6 September 2012
Sunday, 2 September 2012
Matukio mbalimbali katika mkutano wa M4C Reading
Mwenyekiti Mh Likosi Akihutubia Mkutano |
Katibu wa Chadema UK Kamanda Liberatus Musiba akiwa na Mwenyekiti wakifuatilia mkutano |
Mh Lukosi na Mweka Hazina Dr Alex wakimsikiliza kwa makini Kamanda Godbless Lema akihutubia mkutano huo kwa njia ya simu |
Dr Alex Paurine ambaye pia ni Mweka hazina akihutubia mkutano huo, Dr Paurine alitumia Power Point kuonyesha picha na matukio yanayoonyesha hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi. |
Ndg Aseri Katanga Mwenyekiti wa bodi ya Computer for Africa akihutubia |
Gerald Lusingu, Mmoja wa wenyeji wa Mkutano wa M4C Reading na aliyechaguliwa kuwa mwakilishi wa M4C Reading akiwasalimia wananchi |
Dr Lusingu akitoa Historia ya Harakati za Mabadiliko na Mageuzi katika nchi yetu, huku akifuatiliwa kwa makini na Katibu wa wanawake Bi Margaret Malekia, Katibu Mh Liberatus na Mwenyekiti Mh Lukosi |
Engineer Prudence Kahatano akichambua matokeo ya azimio la Zanzibar lililovunja azimio la Arusha na madhara ya soko huria kwa Watanzania |
Wadau Mbalimbali katika Mkutano
Wanachama mbali mbali wakikabidhiwa kadi za Chadema na Mwenyekiti wa Chadema UK Mh Chriss Lukosi
Ndg Wambura akivalishwa Gwanda na Kupewa kadi ya Chadema na Mwenyekiti Mh Lukosi |
Saturday, 25 August 2012
TAARIFA YA USAFIRI KWENDA M4C READING
TAWI LA CHADEMA UK LINAPENDA KUWATANGAZIWA WANACHAMA WAKE WOTE, WATANZANIA WOTE NA WAPENZI WA CHADEMA WAISHIO LONDON KUWA WAWASILIANE NA CHRIS LUKOSI KWA TARATIBU ZA USAFIRI WA KWENDA READING KUHUDHULIA MKUTANO WA M4C.
MAGARI YATAONDOKA SAA NNE ASUBUHI
Mkutano utafanyika siku ya Tarehe 26/08/2012 kuanzia saa saba mchana mpaka saa kumi na mbili jioni, siku ya Bank Holiday. Risc Reading International Solidarity Centre, 35-39 London Street, Reading, RG1 4PS .
WASOMI WENGI NA WANAHARAKATI MBALI MBALI WATAONGEA SIKU HIYO,
SIKU YA MKUTANO TUTAANZISHA MFUKO WA KUFA NA KUZIKANA KWA AJILI YA WATANZANIA WOTE WAISHIO UK BILA KUBAGUA CHAMA CHAKO CUF,CCM,UDP,TLP WOTE MNAKARIBISHWA
Watanzania wote na wadau mbali mbali mnakaribishwa
SISI SOTE NI NDUGU, TATIZO NI CCM
ni wakati wa kusimama na kusema tumechoka
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA HAWA WAFUATAO
MWENYEKITI: Chris Lukosi 07903828119
Au tutumie email kupitia chademauk@gmail.com
Peooooople's Power
Wednesday, 22 August 2012
Dr. Slaa na Rasilimali za Taifa
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbrod Slaa amelitaka Jeshi la Polisi kutumia fedha na uwezo wake kulinda Rasilimali za Taifa sio kupambana na CHADEMA
Tuesday, 21 August 2012
MAHAKAMA YATENGUA UBUNGE JIMBO LA IGUNGA
Subscribe to:
Posts (Atom)
Chadema UK Ndani ya Milton Keynes
DAR NI SISI - VIDEO MAISHA YA WANADAR HATA BAADA YA MIAKA50 YA UHURU
