Showing posts with label LUNINGA YA UMMA. Show all posts
Showing posts with label LUNINGA YA UMMA. Show all posts

Sunday 2 September 2012

Mwandishi wa habari wa channel 10 afariki baada ya polisi kuingilia mkutano wa CHADEMA Iringa



Pichani Daud Mwangosi akiwa kazini muda mfupi kabla kufikwa na mauti yake.)

 



Mh. Mbowe: Sisi sote ni ndugu, vyama vya siasa visitugombanishe, tutangulize Utanzania wetu, watanzania walikuwepo kabla ya vyama vya siasa, Tanzania inachanga moto nyingi kuliko malumbano vya chama vya siasa


Video ya Mkutano wa M4C Reading ulioandaliwa na Chadema UK 26.08.2012


Matukio mbalimbali katika mkutano wa M4C Reading

Mwenyekiti Mh Likosi Akihutubia Mkutano
Katibu wa Chadema UK Kamanda Liberatus Musiba akiwa na Mwenyekiti wakifuatilia mkutano
 
Mh Lukosi na Mweka Hazina Dr Alex  wakimsikiliza kwa makini Kamanda Godbless Lema akihutubia mkutano huo kwa njia ya simu
 
Dr Alex Paurine ambaye pia ni Mweka hazina akihutubia mkutano huo, Dr Paurine alitumia Power Point kuonyesha picha na matukio yanayoonyesha hali halisi ya maisha ya Watanzania wengi.
 
Ndg Aseri Katanga Mwenyekiti wa bodi ya Computer for Africa akihutubia

Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Chadema UK Bi Jessica Maduhu akielezea masikitiko yake juu ya huduma mbovu za afya na kero wanazozipata wanawake wajawazito wakati wa kujifungua na huduma za afya kwa watoto.

Gerald Lusingu, Mmoja wa wenyeji wa Mkutano wa M4C Reading na aliyechaguliwa kuwa mwakilishi wa M4C Reading akiwasalimia wananchi 

Dr Lusingu akitoa Historia ya Harakati za Mabadiliko na Mageuzi katika nchi yetu, huku akifuatiliwa kwa makini na Katibu wa wanawake Bi Margaret Malekia, Katibu Mh Liberatus na Mwenyekiti Mh Lukosi 
Engineer Prudence Kahatano akichambua matokeo ya azimio la Zanzibar lililovunja azimio la Arusha na madhara ya soko huria kwa Watanzania
 

 Wadau Mbalimbali katika Mkutano

 


 Wanachama mbali mbali wakikabidhiwa kadi za Chadema na Mwenyekiti wa Chadema UK Mh Chriss Lukosi

Ndg Wambura akivalishwa Gwanda na Kupewa kadi ya Chadema na Mwenyekiti Mh Lukosi





Saturday 25 August 2012

TAARIFA YA USAFIRI KWENDA M4C READING

 TAWI LA CHADEMA UK LINAPENDA  KUWATANGAZIWA WANACHAMA WAKE WOTE, WATANZANIA WOTE NA WAPENZI WA CHADEMA WAISHIO LONDON KUWA  WAWASILIANE NA CHRIS LUKOSI KWA TARATIBU ZA USAFIRI WA KWENDA READING KUHUDHULIA MKUTANO WA M4C.

MAGARI YATAONDOKA SAA NNE ASUBUHI

Mkutano utafanyika siku ya Tarehe 26/08/2012 kuanzia saa saba mchana mpaka saa kumi na mbili jioni, siku ya Bank Holiday. Risc Reading International Solidarity Centre, 35-39 London Street, Reading, RG1 4PS .
 
WASOMI WENGI NA WANAHARAKATI MBALI MBALI WATAONGEA SIKU HIYO,
SIKU YA MKUTANO TUTAANZISHA MFUKO WA KUFA NA KUZIKANA KWA AJILI YA WATANZANIA WOTE WAISHIO UK BILA KUBAGUA CHAMA CHAKO CUF,CCM,UDP,TLP WOTE MNAKARIBISHWA
 
Watanzania wote na wadau mbali mbali mnakaribishwa
 
SISI SOTE NI NDUGU, TATIZO NI CCM
 
 ni wakati wa kusimama na kusema tumechoka
 
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA HAWA WAFUATAO
MWENYEKITI: Chris Lukosi 07903828119
 
Au tutumie email kupitia chademauk@gmail.com
 
 
Peooooople's Power

Wednesday 22 August 2012

Dr. Slaa na Rasilimali za Taifa



Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbrod Slaa amelitaka Jeshi la Polisi kutumia fedha na uwezo wake kulinda Rasilimali za Taifa sio kupambana na CHADEMA

Tuesday 21 August 2012

MAHAKAMA YATENGUA UBUNGE JIMBO LA IGUNGA

Dr Kafumu akiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Mkama
Mahakama yamvua ubunge Dk. Kafumu, uchaguzi haukuwa huru na haki
  • Chadema wafurika mahakamani, vigogo CCM wamtelekeza Dk. Kafumu
  • Dk. Slaa asema ni hukumu ya kihistoria, Rage chupuchupu kwenda jela

Chadema UK Ndani ya Milton Keynes

DAR NI SISI - VIDEO MAISHA YA WANADAR HATA BAADA YA MIAKA50 YA UHURU