tag:blogger.com,1999:blog-84187153899051709282023-11-16T05:34:12.153-08:00Chadema Blog UKAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.comBlogger71125tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-9550205535155923372013-02-25T15:08:00.000-08:002013-02-25T15:08:10.721-08:00<img src="https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=32de3a859c&view=att&th=13d134fc25140921&attid=0.1&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-wWV4H_YpHu_iT3LHNs_Dv&sadet=1361832676815&sads=9CHweEAQkGYB3yxrpC3qMqjwsh4&sadssc=1" />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-19672625315224587722012-12-30T15:18:00.001-08:002012-12-30T15:22:28.721-08:00<blockquote class="tr_bq">
<div style="text-align: center;">
<b style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="font-family: Algerian; font-size: 22pt; line-height: 1.2em; outline: none;">CHADEMA <span style="color: #0070c0; line-height: 1.2em; outline: none;">M</span>4<span style="color: red; line-height: 1.2em; outline: none;">C</span>-UK HATULALI MPAKA KIELEWEKE</span></b></div>
</blockquote>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; margin-bottom: 0.0001pt; outline: none; padding: 0px; text-align: start;">
<b style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"> </span></b></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;">NDUGU MAKAMANDA!!!</i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><br style="line-height: 1.2em; outline: none;" /></i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;">NI BUSARA TUPONGEZANE NA KUMSHUKURU MUNGU KWA KUTUJALIA KUVUKA MWAKA 2012 NA KUANZA MWAKA 2013, TUKIWA NA HALI NZURI KIAFYA NA KTK HARAKATI ZA KUMKOMBOA MTANZANIA KIFIKRA.</span><span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"></span></i></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><br style="line-height: 1.2em; outline: none;" /></i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;">TUNAJIVUNA KUMALIZA MWAKA KWA KISHINDO KWANI TUMEWEZA KUBAINI NA KUMWAJIBISHA VILIVYO KILA ALIYEFANYA KINYUME NA MATAKWA YA M4C NDANI YA CHADEMA KTK MAANDALIZI YA KUCHUKUA DOLA</i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><br style="line-height: 1.2em; outline: none;" /></i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;">NAFARIJIKA KUWAMBIA KWAMBA CHADEMA KUCHUKUA DOLA SI NDOTO TENA, BALI ITAKUWA. HIVYO TUNAWASHAULI KWA KUWAHIMIZA CCM WASIGHARIMIKE KWA KUTUMIA RASILIMALI ZETU NYINGI KUDHOOFISHA HARAKATI ZA UMMA WA WATANZANIA ZINAZOFANYIKA KUPITIA CHADEMA</i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><br style="line-height: 1.2em; outline: none;" /></i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;">NAPENDA NIWATIE MOYO KWAMBA, ZAIDI YA SISI (CHADEMA) KUTABILI USHINDI IFIKAPO MWAKA 2015, PIA UMMA TUNAOUPIGANIA UNAJITABILIA USHINDI MKUBWA DHIDI YA CCM LICHA YA PROPAGANDA CHAFU NA NJAMA NYINGINE POTOFU WANAZOZIFANYA KUPITIA VYOMBO VYA DOLA.</i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><br style="line-height: 1.2em; outline: none;" /></i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; margin-bottom: 0.0001pt; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;">TUNAPENDA IELEWEKE KWAMBA MWAKA 2013 TUTAJIPANGA KAMA TAWI LA SERIKALI TARAJIWA YA CHADEMA. KWAHIYO, M4C-UK ITAKUWA KIMKAKATI ZAIDI KULIKO HAMASA. HIVYO TUMENUWIA</span><span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"> KUWA NA VIONGOZI SAHIHI WENYE MAONO, WITO, FIKRA SAFI, UTU, NIDHAMU, NA NIA YA MAENDELEO MBADALA KWA WATANZANIA. KWA MANTIKI HII, TUNAKUOMBA WEWE BINAFSI UJIANDAE KUWANIA UONGOZI ILI UTULETEE NJOZI MPYA, ZITAKAZOTUVUSHA NGAMBO ILE YENYE TANZANIA MPYA TUNAYOITAKA.</span></i></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; margin-bottom: 0.0001pt; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; margin-bottom: 0.0001pt; outline: none; padding: 0px; text-align: justify;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;">MWISHO WA YOTE NATUMIA FURSA HII KUTOA SHUKRANI ZA DHATI KWA UONGOZI WA MUDA NA BAADHI YENU MLIOJITOLEA KWA HALI NA MALI KUHAKIKISHA TAWI LETU LINASONGA MBELE. NAWATAKIA MWAKA MPYA WENYE MAFANIKIO MAKUBWA</i></span></span></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; margin-bottom: 0.0001pt; outline: none; padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; margin-bottom: 0.0001pt; outline: none; padding: 0px;">
<br /></div>
<div class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; margin-bottom: 0.0001pt; outline: none; padding: 0px;">
<span style="font-size: 12pt; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000066; line-height: 1.2em; outline: none;">MUNGU IBARIKI CHADEMA, MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE</span></i></span></div>
<div align="center" class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; margin-bottom: 0.0001pt; outline: none; padding: 0px;">
<b style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="font-family: Verdana, sans-serif; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: #000099; font-size: x-large; line-height: 1.2em; outline: none;">Piipooooooooooz!!!!</span><span style="color: #00b0f0; font-size: medium; line-height: 1.2em; outline: none;"></span></i></span></b></div>
<div align="center" class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px;">
<br /></div>
<div align="center" class="yiv2093181178MsoNormal" style="background-color: white; font-family: arial, helvetica, clean, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 15.933333396911621px; outline: none; padding: 0px;">
<span class="yiv2093181178MsoIntenseEmphasis" style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span lang="FR" style="font-family: Verdana, sans-serif; font-size: 12pt; line-height: 18px; outline: none;"><b style="line-height: 1.2em; outline: none;"><span style="color: red; line-height: 1.2em; outline: none;"><i style="line-height: 1.2em; outline: none;">IMETOLEWA NA KURUGENZI YA MWASILIANO NA MAHUSIANO YA CHADEMA-UK</i></span></b></span></span></div>
<br />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-13552722993771408952012-12-12T11:58:00.001-08:002012-12-12T11:58:17.848-08:00<br />
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 20.0pt;">BREAKING
NEWS!!!!!<o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Mwenyekiti wa CHADEMA UK </span></u><u><span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";">Mr Christopher Lukosi</span></u><u><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";"> amevuliwa madaraka na
kusitishwa uanachama.<o:p></o:p></span></u></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";">Ikiwa ni takribani miezi minne tangu tawi la CHADEMA UK
lifunguliwe rasmi na Mr Godbless Lema, kumekuwepo na maendeleo makubwa ya
ujenzi wa tawi hili lakini vile vile kumekuwepo na changa moto mbali mbali
kutokana na uelewa wa watu ktk dhana nzima ya M4C. M4C ikiwa na maana ya
Movement for Change, ni sharti mtu yeyote anayeingia ktk movement hii kwenye
ngazi ya uongozi aelewe haya machache ya msingi:<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="mso-list: l1 level1 lfo1; text-align: justify; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">1)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Kwanza aone matatizo yanayomgusa yeye na jamii yake<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l1 level1 lfo1; text-align: justify; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">2)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Ajue na kutambua fika chimbuko la matatizo haya<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l1 level1 lfo1; text-align: justify; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">3)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Awe tayari kuwa kiini cha mabadiliko ya kweli anayoyataka kwa jamii<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l1 level1 lfo1; text-align: justify; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">4)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Aweze kutoa ufumbuzi kwa kukemea maovu, kuelimisha na hata yeye
binafsi kuelimika<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="mso-list: l1 level1 lfo1; text-align: justify; text-indent: -18.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">5)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Ili afanikiwe ktk kipengele cha (4) ni sharti ajitambue yeye binafsi
ya kwamba ni:<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="margin-left: 72.0pt; mso-add-space: auto; mso-list: l2 level1 lfo2; text-align: justify; text-indent: -36.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">i)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Lazima awe safi na mwenye sifa za kukemea waovu<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="margin-left: 72.0pt; mso-add-space: auto; mso-list: l2 level1 lfo2; text-align: justify; text-indent: -36.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">ii)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Aweke maslahi ya jamii mbele na si yake binafsi<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="margin-left: 72.0pt; mso-add-space: auto; mso-list: l2 level1 lfo2; text-align: justify; text-indent: -36.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">iii)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Awe na sifa za uongozi zinazotakiwa, nidhamu ikiwa nambari moja ktk
orodha. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast" style="margin-left: 72.0pt; mso-add-space: auto; mso-list: l2 level1 lfo2; text-align: justify; text-indent: -36.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">iv)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">Awe na msimamo wa kiitikadi<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";">Kwa hiyo, uongozi wa CHADEMA UK kwa baraka za watetezi wa haki
ya kweli (CHADEMA TZ) unawatangazia umma watanzania kokote mlipo kwamba kuanzia
leo </span><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">tarehe
12/12/12, Mr Christopher Lukosi amevuliwa rasmi uongozi na amesitishwa uanachama</span><span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";"> </span><span style="color: red; font-family: "Verdana","sans-serif";">kutokana na kutokidhi
mengi ya yaliyotajwa hapo juu</span><span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";">.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";">Uongozi wa CHADEMA UK unamshukuru sana kwa mchango na
ushirikiano wake mkubwa kwa kipindi ambacho matundu ya chujio yalikuwa makubwa.
Tutaendelea kumkumbuka na hata kutumia misemo yake yenye maana nzito kwa jamii
ya kitanzania, kama vile: -<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="margin-left: 54.0pt; mso-add-space: auto; mso-list: l0 level1 lfo3; text-align: justify; text-indent: -36.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">i)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";">Sisi sote ni ndugu, tatizo ni CCM<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpLast" style="margin-left: 54.0pt; mso-add-space: auto; mso-list: l0 level1 lfo3; text-align: justify; text-indent: -36.0pt;">
<!--[if !supportLists]--><span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif"; mso-bidi-font-family: Verdana; mso-fareast-font-family: Verdana;">ii)<span style="font-family: 'Times New Roman'; font-size: 7pt;">
</span></span><!--[endif]--><span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";">Kila kwenye msafara wa mamba na kenge wamo<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="color: #002060; font-family: "Verdana","sans-serif";">Uongozi unamwakikishia Mr Christopher Lukosi kwamba mamba wote
wa CHADEMA UK kwa kushirikiana na wote wenye kuelewa mageuzi ya kweli, tutaliondoa
tatizo ifikapo 2015. Tunamtakia kila la kheli katika maisha na ni imani yetu
tutaendelea kuwa ndugu yake baada ya tatizo kutatuliwa !!!!. <o:p></o:p></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: 200%; text-align: center;">
<i><span style="color: #0070c0; font-family: "Adobe Garamond Pro","serif";">“We fail in most of our endeavours because we too often underestimate
People’s Power” [M4C UK, 2012]<o:p></o:p></span></i></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-87150015516545988172012-11-23T16:32:00.002-08:002012-11-23T17:16:22.050-08:00<br />
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><span style="font-size: 18pt; line-height: 115%;"> </span></b><b><span style="color: red; font-size: 18.0pt; line-height: 115%;"><v:shapetype adj="4050" coordsize="21600,21600" id="_x0000_t161" o:spt="161" path="m,c7200@0,14400@0,21600,m,21600c7200@1,14400@1,21600,21600e">
<v:formulas>
<v:f eqn="prod #0 4 3">
<v:f eqn="sum 21600 0 @0">
<v:f eqn="val #0">
<v:f eqn="sum 21600 0 #0">
</v:f></v:f></v:f></v:f></v:formulas>
<v:path o:connectangles="270,180,90,0" o:connectlocs="10800,@2;0,10800;10800,@3;21600,10800" o:connecttype="custom" textpathok="t">
<v:textpath fitshape="t" xscale="t">
<v:handles>
<v:h position="center,#0" yrange="0,8100">
</v:h></v:handles>
<o:lock shapetype="t" text="t" v:ext="edit">
</o:lock></v:textpath></v:path></v:shapetype><v:shape adj="5665" fillcolor="red" id="_x0000_i1025" strokecolor="#0070c0" style="height: 36pt; width: 451.5pt;" type="#_x0000_t161">
<v:fill opacity="41288f">
<v:shadow color="#868686">
<v:textpath fitpath="t" string="M4C Inaendelea na Kamwe Hatutasimama wala Kulala" style="font-family: "Bauhaus 93"; v-text-kern: t;" trim="t" xscale="f">
</v:textpath></v:shadow></v:fill></v:shape><o:p></o:p></span></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><span style="color: red; font-family: "Footlight MT Light","serif"; font-size: 22.0pt; line-height: 115%;">MKUTATANO WA CHADEMA UK !!!!<o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<b><span style="color: #0070c0; font-family: "Footlight MT Light","serif"; font-size: 18.0pt; line-height: 115%;">Uongozi wa muda wa CHADEMA UK unapenda kuwakumbusha wana kamati
wote kwamba kutakuwa mkutano kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wa
kudumu </span></b><b><span style="color: #984806; font-family: "Footlight MT Light","serif"; font-size: 18.0pt; line-height: 115%; mso-themecolor: accent6; mso-themeshade: 128;">Tarehe 24<sup>th</sup>
November 2012 Jumamosi saa kumi na moja (17:00pm)</span></b><b><span style="font-family: 'Footlight MT Light', serif; font-size: 18pt; line-height: 115%;">
</span></b><b><span style="color: #984806; font-family: "Footlight MT Light","serif"; font-size: 18.0pt; line-height: 115%; mso-themecolor: accent6; mso-themeshade: 128;">jioni </span></b><b><span style="font-family: 'Footlight MT Light', serif; font-size: 18pt; line-height: 115%;">karibu
na Barking Station...Pahala pa mkutano ni pale pale</span></b><b><span style="font-family: 'Niagara Solid'; font-size: 18pt; line-height: 115%;">.<o:p></o:p></span></b></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-84612270759238239452012-10-06T07:04:00.002-07:002012-10-06T07:04:54.897-07:00Uzinduzi wa kampeni za chadema kata ya daraja II <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi49YuVnMCNOh9B7OMS4TF5wDJESKaJ1TTebMHCZ1zWF601-YpC0UgC027JK-s64xuUii_jSgI6N8MP8hk7JfaSwDYBEvTKqy-9wNhJq5pkipM_CU0hLtXPQqDnJzJ1k4FTUm2sjZzP0Q/s1600/DSC03695.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi49YuVnMCNOh9B7OMS4TF5wDJESKaJ1TTebMHCZ1zWF601-YpC0UgC027JK-s64xuUii_jSgI6N8MP8hk7JfaSwDYBEvTKqy-9wNhJq5pkipM_CU0hLtXPQqDnJzJ1k4FTUm2sjZzP0Q/s320/DSC03695.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj602lfhyphenhyphenMNMS4XVpf79epTyeIP9LlMv3CqKCzf2CgV2-Q9gtyUCztFSZiP1DUjIQaSq0L_11IsIfCY-tnw8-OXQzo5QNtTRIR7ncFyHFYhBtfAXtMgVaK_NE8aX7c7SvLJAAYL6IKWBg/s1600/DSC03684.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj602lfhyphenhyphenMNMS4XVpf79epTyeIP9LlMv3CqKCzf2CgV2-Q9gtyUCztFSZiP1DUjIQaSq0L_11IsIfCY-tnw8-OXQzo5QNtTRIR7ncFyHFYhBtfAXtMgVaK_NE8aX7c7SvLJAAYL6IKWBg/s320/DSC03684.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
KWA HABARI ZAIDI NA MATUKIO YANAYOENDELEA MKUTANONI TEMBELEA:</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334074-live-updates-uzinduzi-wa-kampeni-za-chadema-kata-ya-daraja-ii.html">http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334074-live-updates-uzinduzi-wa-kampeni-za-</a></div>
<a name='more'></a><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgL66GXbOZxO7ONSwwrzU4nvW5JBVbwFr3nc699GM_lxNN1wILSyijLIsvPMDELbjyk29RmTNay6ZbTYXRt0YmjGpcgg1P-U-nC45L2xjntBaU9LAxnq7evzmg8FjTOAzgxNvl-D9hedw/s1600/Kamde.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgL66GXbOZxO7ONSwwrzU4nvW5JBVbwFr3nc699GM_lxNN1wILSyijLIsvPMDELbjyk29RmTNay6ZbTYXRt0YmjGpcgg1P-U-nC45L2xjntBaU9LAxnq7evzmg8FjTOAzgxNvl-D9hedw/s320/Kamde.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj05SiDtGrrVDo8uCDJhgzq6NldNOUJn6L01sBtHnGBVi_3OOaZ07gzPTDRpHw0JiGFjBVvl3iv34VkUdkShcMDgaJn5KSsbZUyklsuQQMAwqiVVkrc_aX69FlQYVNL1OV9qNXst0rY2g/s1600/Shirima%2520na%2520Katibu%2520mwenezi%2520wa%2520chadema%2520bw_%2520Kombe.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj05SiDtGrrVDo8uCDJhgzq6NldNOUJn6L01sBtHnGBVi_3OOaZ07gzPTDRpHw0JiGFjBVvl3iv34VkUdkShcMDgaJn5KSsbZUyklsuQQMAwqiVVkrc_aX69FlQYVNL1OV9qNXst0rY2g/s320/Shirima%2520na%2520Katibu%2520mwenezi%2520wa%2520chadema%2520bw_%2520Kombe.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUf1ZmO0tbWwPqHYxBEmdWqusI7ZItQSQdi7GNTS-_v0n0ArY-tD4MQPgpUYyywxC6iY5s8NYn7Cuktrrehjv5yWws378HWOuh037V87COoXQlJvxsLSsqn6VDgpGmd0bByG71WNdo4g/s1600/Umati%25202.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgUf1ZmO0tbWwPqHYxBEmdWqusI7ZItQSQdi7GNTS-_v0n0ArY-tD4MQPgpUYyywxC6iY5s8NYn7Cuktrrehjv5yWws378HWOuh037V87COoXQlJvxsLSsqn6VDgpGmd0bByG71WNdo4g/s320/Umati%25202.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNnrlq88FNYcsWM4mzAi2SsJP2LU7mcWNnV0U1Eeq_MBvYPNed8SnZiEzg4AQe7so9m_EJf79PmbEuoFt8B4wGw9Z0yTC8yevuA-zLzs-ArS_J0EK8bHPR_2JvDK-kMgQrmPok94f67Q/s1600/Umati%25203.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjNnrlq88FNYcsWM4mzAi2SsJP2LU7mcWNnV0U1Eeq_MBvYPNed8SnZiEzg4AQe7so9m_EJf79PmbEuoFt8B4wGw9Z0yTC8yevuA-zLzs-ArS_J0EK8bHPR_2JvDK-kMgQrmPok94f67Q/s320/Umati%25203.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_1VDuSkLCTXBS6drot8aqjNc4suLY7yscMxGxeb-pglz5FBicqsicARxoDqTm4sAulYMe1xUjmer6sKRdN1uxyIM6g6a0VAxndBCefMY5uFfLPlp5xM3kV21eEUYrIN5gCqXrMV8vaQ/s1600/Umati2.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_1VDuSkLCTXBS6drot8aqjNc4suLY7yscMxGxeb-pglz5FBicqsicARxoDqTm4sAulYMe1xUjmer6sKRdN1uxyIM6g6a0VAxndBCefMY5uFfLPlp5xM3kV21eEUYrIN5gCqXrMV8vaQ/s320/Umati2.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhQgxzfg24mHIPFrJMZu0s4LsqoqVh8lIEPVAZrWMeXByxhW94t7fiG5u-vH5O3if5SgMZ6qvD0OS2psSD3-XAiBaTDNWStPuKnfC7IJYF2nNLPaGaYHif8DRQBaTpA13Qji_5DdkJohg/s1600/Pepe%2520na%2520shabiki%2520machachari%2520wa%2520chadema.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhQgxzfg24mHIPFrJMZu0s4LsqoqVh8lIEPVAZrWMeXByxhW94t7fiG5u-vH5O3if5SgMZ6qvD0OS2psSD3-XAiBaTDNWStPuKnfC7IJYF2nNLPaGaYHif8DRQBaTpA13Qji_5DdkJohg/s320/Pepe%2520na%2520shabiki%2520machachari%2520wa%2520chadema.JPG" width="320" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
KWA HABARI ZAIDI NA MATUKIO YANAYOENDELEA MKUTANONI TEMBELEA:</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334074-live-updates-uzinduzi-wa-kampeni-za-chadema-kata-ya-daraja-ii.html">http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334074-live-updates-uzinduzi-wa-kampeni-za-chadema-kata-ya-daraja-ii.html</a></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-85315328845222305292012-10-06T06:51:00.000-07:002012-10-06T06:51:27.348-07:00Wauaji wa Kada wa CHADEMA watoroka<div style="text-align: justify;">
<strong><span style="font-family: Tahoma;">POLISI
WAHAHA KUFICHA UKWELI, WATOA DAU LA MIL. 5/-</span></strong>
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">WASHTAKIWA wawili
waliompora askari polisi bunduki wakiwa chini ya ulinzi katika mahakama ya mkoa
wa Arusha na kutoroka kusikojulikana, katika mazingira ya kutatanisha imebainika
kuwa ni wale wanaokabiliwa na tuhuma ya mauaji ya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kata ya Usa River, Msafiri
Mbwambo.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Washtakiwa hao Samweli
Mtinange maarufu kama Samu na Mohamed Shaban Limu walitoroka juzi majira ya saa
7:30 mchana wakati wakitolewa kwenye chumba cha mahabusu mahakamani wakipelekwa
kwenye karandinga la polisi kwa ajili kurudishwa rumande kwenye gereza la mkoa,
Kisongo.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kamanda wa polisi mkoani
hapa, Liberatus Sabas, alithibitisha kutoroka kwa washtakiwa hao wanaokabiliwa
na kesi hiyo ya mauaji namba 184/2012, lakini akakanusha kuporwa bunduki na
silaha zaidi ya 30 kwa askari polisi aliyekuwa akiwalinda.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Tukio hilo limezua hofu
kubwa na kuzusha tuhuma kuwa limepangwa kiufundi na baadhi ya watu, kwa nia
mahsusi za kisiasa hasa ikizingatiwa kutokea kwa tukio jingine baya la mauaji ya
mwandishi wa habari wa kituo cha Channel Ten, Daudi Mwangosi, mkoani Iringa
mwanzoni mwa mwezi uliopita.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Wasiwasi huo umekuja
kutokana na mazingira ya tukio hilo, ambalo wadadisi wa mambo wanatia shaka juu
ya kutokuwepo kwa mikakati imara iliyosukwa kufanikisha utorokaji
huo.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kurugenzi ya Ulinzi na
Usalama ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imedai kupokea kwa
mshtuko na tahadhari kubwa, kitendo cha watuhumiwa wawili wa mauaji hayo,
kutoroka mbele ya askari polisi wenye silaha, baada ya kumnyang’anya bunduki
mmoja wa askari waliokuwa lindo kwenye eneo la mahakama ya wilaya.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Aidha kurugenzi pia
imepokea kwa tahadhari kubwa taarifa kuwa Kamanda wa Polisi (RPC), mkoa wa
Arusha, Liberatus Sabas, pamoja na kukiri kuwa waliokimbia mbele ya polisi kwa
kumnyang’anya askari silaha ni watuhumiwa wa mauaji ya Mbwambo, aligoma kutaja
jina la askari aliyenyang’anywa bunduki na hata majina ya wenzake waliokuwa
lindo hapo mahakamani.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Katika taarifa kwa vyombo
vya habari Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, Wilfred Rwakatale,
alisema tukio hilo sasa limekifanya chama hicho kianze kuweka mkazo kwenye
kuunganisha ‘nukta’ katika matukio ya namna hii na limezidi kudhihirisha pasi na
shaka yoyote umuhimu wa kuundwa kwa chombo huru cha uchunguzi wa mauaji yenye
utata, yanayohusishwa na siasa, mojawapo likiwa ni tukio la mauaji ya
Mbwambo.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Rwakatale amelitaka Jeshi
la Polisi kutoa maelezo ya kutosha yatakayoendana na uwajibikaji, unaopaswa
kufuatiwa na hatua za kisheria, ili kuweza kujinasua kwenye kashfa hii ya juzi
Arusha, ambapo sasa inatafsiriwa kuwa jeshi hilo limehusika kufanya ‘mchezo’
mwingine kwa nia ama ya kutaka kuficha mtandao wa mauaji hasa ya kisiasa au
kuficha ushahidi muhimu wa masuala ambayo ama yamebainika kwenye mahojiano au
ambayo yangebainika mahakamani, ikizingatiwa kuwa baadhi ya watuhumiwa wa kesi
hiyo ni viongozi wa CCM.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Kitendo cha RPC Sabas
kukanusha askari wake kunyang’anywa bunduki, ambayo baadaye iliokotwa ikiwa
imetelekezwa, ni dalili za mwendelezo wa tabia ya jeshi hilo, kupitia maofisa
wake waandamizi, kujitokeza kuficha ukweli na kufanya propaganda, kwa kila tukio
ambalo jeshi hilo linapaswa kuwajibika kwa makosa linayofanya”</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Itakumbukwa pia katika
barua ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Freeman Mbowe kwenda kwa Rais, chama
kilimtaka Rais kuunda Tume ya Kijaji/ Kimahakama ya uchunguzi wa vifo
vilivyotokea katika mikusanyiko, mikutano, maandamano au mazingira ya kisiasa
yaliyohusisha CHADEMA. Vifo hivi ni vile vilivyotokea Arusha (05/01/2011),
Igunga (Novemba 2011), Arumeru Mashariki (Aprili 2012), Iramba (Julai 14, 2012),
Morogoro (27/08/2012) na Iringa (02/09/2012),” imesema taarifa
hiyo.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">CHADEMA imesema kuendelea
kutokea kwa masuala yenye utata katika usalama kumeonyesha kuwa serikali ya CCM
inazidi kukomaza mfumo wa kulindana na kutaka kuficha masuala fulani fulani,
hasa katika matendo ya mauaji yanayofanywa na Jeshi la Polisi, chini ya Wizara
ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Hali ambayo inatia shaka ni hatma ya ulinzi na
usalama wa raia na mali zao.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Hatuoni mantiki ya
kigugumizi cha serikali ya CCM na viongozi wake, kushindwa kuzungumzia
utendekaji wa haki na uwajibikaji kama moja ya misingi muhimu sana ya tunu ya
amani.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Masuala haya yakitekelezwa
inavyotakiwa, hata kazi ya ulinzi na usalama kwa raia na mali zao, itakuwa
rahisi kwa sababu itakuwa ni wajibu wa jamii nzima. Kinyume na hapo, kwa
kufumbia macho vitendo vya wazi vya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu,
ikiwemo isiyoweza kuthaminishwa na kitu chochote, haki ya kuishi, inazidi
kujipotezea uhalali wa kutawala.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">CHADEMA imeendeleaa
kusisitiza kutaka uwajibikaji wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel
Nchimbi, IGP Saidi Mwema, Kamanda wa Operesheni Maalum wa Jeshi la Polisi, Paul
Chagonja, RPC wa Mkoa wa Morogoro Faustine Shilogile na RPC wa mkoa wa Iringa,
Michael Kamuhanda, kutokana na mauaji yaliyotokea mkoani Morogoro na Iringa, kwa
wao wenyewe kujiuzulu au kufukuzwa kazi na Rais ili kupisha uchunguzi
huru.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Wakati Kurugenzi
ikisisitiza msimamo wa chama wa kuitaka serikali iwakamate na kuwafungulia kesi
ya mauaji, Kamanda wa FFU Mkoa wa Morogoro (kwa mauaji ya Ally Zona) na RPC
Kamuhanda na askari wote wanaoonekana kwenye picha wakimsulubu marehemu Daudi
Mwangosi kabla hajalipuliwa kwa bomu la polisi na kufa, inapenda kusisitiza kuwa
Jeshi la Polisi linawajibu wa kuhakikisha watuhumiwa wa mauaji ya Mbwambo
waliotoroka, Samwel Mtinange na Mohamed Limu, wanapatikana huku hatua
zinazostahili juu ya tukio hilo la utorokaji zikichukuliwa kwa wahusika wote,”
wamesema.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mbali na waliotoroka,
washtakiwa wanaoendelea kushikiliwa kuhusiana na mauaji ya Mbwambo ambaye
aliuawa kikatili kwa kukatwa kichwa na kitu chenye ncha kali shingoni kubaki
wanne wakiwemo wenyeviti wa serikali za vitongoji wanaotokana na Chama cha
Mapinduzi (CCM), Davis Mkumba (Kisambaramajengo) na Mathias Nathan (Magadini)
ambapo washtakiwa wengine ni Saidi Florianna Swalihi na Yohana.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Aidha hatua ya Kamanda
Sabas kukanusha taarifa kuwa watuhumiwa hao wakati wakitoroka walifanikiwa
kumnyang’anya bunduki mmoja wa askari waliokuwa wakilinda, mashuhuda wa tukio
hilo ambao hawakuwa tayari majina yao kutajwa magazetini walilieleza Tanzania
Daima kuwa watuhumiwa hao walimnyang’anya silaha aina ya SMG mmoja wa askari
polisi aliyekuwa akiwalinda jambo lililozua hofu kubwa miongoni mwa baadhi ya
watumishi wa mahakamani ambao baadhi waliamua kujifungia ndani ya vyumba vya
mahakama wakihofia mahabusu huyo kuwafyatulia risasi.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mashuhuda hao waliendelea
kudai kuwa mmoja wa mahabusu hao alikuwa wa kwanza kutoka kwenye chumba cha
mahabusu na alipomkaribia askari huyo ambaye jina wala cheo chake hakijafahamika
alimvamia na kumpora silaha hiyo inayodaiwa kuwa na risasi 30 na kuruka uzio
mrefu wa mahakama hiyo.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Jeshi la Polisi limewaomba
wananchi kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa zitakazowezesha kupatikana kwa
washtakiwa hao ambapo limetangaza zawadi nono ya shilingi milioni tano kwa
wananchi watakaofanikisha kukamatwa ikiwa ni shilingi milioni 2.5 kwa kila
mtuhumiwa.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b>Tanzania
Daima</b></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-69116660528110679862012-10-06T06:49:00.002-07:002012-10-06T06:49:29.589-07:00URAIS 2015 : MTEI AMSHUKIA ZITTO<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEif2FyXniTLoQJTB3YhMhTzpudrBibsTCkOOp4to_ecmYL4-aoZGuMQPfqABGzoIoc0joRruS33IWQ3Msia273UXb_p5tCixrLf9h1wVX81hJYjlLla_StSEBPEiS3EGi9UCCUsMRSBOQ/s1600/MTEI+%2528Edwin%2529-BoT%252C+CHADEMA.JPG" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEif2FyXniTLoQJTB3YhMhTzpudrBibsTCkOOp4to_ecmYL4-aoZGuMQPfqABGzoIoc0joRruS33IWQ3Msia273UXb_p5tCixrLf9h1wVX81hJYjlLla_StSEBPEiS3EGi9UCCUsMRSBOQ/s1600/MTEI+%2528Edwin%2529-BoT%252C+CHADEMA.JPG" /></a><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">MBUNGE wa Kigoma Kaskazini,
Zitto Kabwe amekitikisa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa hatua
yake ya kutangaza kuwania urais 2015, baada ya mwasisi wake, Edwin Mtei
kumuonya kuwa hatua hiyo itasababisha mzozo na mpasuko ndani ya
chama.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mtei alisema amekuwa
akimshauri Zitto mara kwa mara kuhusu hatua yake hiyo akimtaka kuwaunganisha
wana Chadema na siyo kuwagawa au kuwavuruga.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kauli hiyo ya Mtei imekuja
siku chache baada ya mbunge huyo kutangaza kwamba hana mpango wa kugombea ubunge
mwaka 2015, badala yake anajipanga kuwania urais.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Hakuna shida kuonyesha
hisia, lakini unatengeneza mzozo mkubwa sana ukitangaza sasa. Mimi
nimeshamshauri sana Zitto, ahakikishe anakiunganisha chama na siyo kukigawa wala
kukivuruga,” alisema Mtei.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mtei alisema hatua ya
mbunge huyo kutangaza kutogombea tena ubunge na badala yake kujipanga kuwania
urais mwaka 2015 umekuja mapema mno na kuonya kuwa itaibua mzozo ndani ya
Chadema.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mtei ambaye aliwahi kuwa
Waziri wa Fedha na Gavana wa Benki Kuu enzi za utawala wa Mwalimu Julius
Nyerere, alisema kwamba wakati mwafaka ukiwadia, Chadema kitaamua ni nani mwenye
sifa za kugombea urais akisema kina utaratibu wake wa kuwapata wagombea
mbalimbali wa uongozi.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisisitiza kwamba siyo
vibaya kwa Zitto kuonyesha hisia zake, lakini akasema kuwa ndani ya Chadema kwa
sasa, kuna watu mbalimbali wanaopenda kuwania urais, lakini
hawajatangaza.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Dk Slaa (Willbrod)
anataka, Freeman (Mbowe) anataka, Zitto anataka, hata mimi huenda nikataka
kugombea. Hapa hakuna upendeleo, sifa ndizo zitakazoamua,” alisema.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Huku akimwagia sifa
mbalimbali Mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini, Mtei alisema kwa upande mwingine,
Katiba ya Tanzania kwa sasa, inamnyima Zitto sifa za kuwania urais mwaka 2015
kwa kuwa hadi kufikia mwaka huo atakuwa amefikisha miaka 38, huku Katiba
ikielekeza kuwa mgombea urais anatakiwa awe na miaka isiyopungua
40.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alipoulizwa ya kwamba
endapo uchaguzi mkuu ujao utafanyika huku Watanzania wakiwa na Katiba Mpya
iliyopunguza umri wa kuwania urais, Mtei alisema endapo mbunge huyo atapambana
kuhakikisha umri huo unapunguzwa, basi atakuwa ni mbinafsi wa
kupindukia.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Kama yeye akichukua hatua
ya kupambana ili Katiba ibadilishwe kwa kuwa anataka kuwania urais, basi
itaonekana ni mtu wa ajabu sana; ni mtu mbinafsi na siyo vizuri.”</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><strong>Zitto
apinga</strong><br />Akizungumzia kauli hiyo ya Mtei, Zitto alisema: “Demokrasia
haileti mizozo kwenye vyama vya siasa hata siku moja, bali humaliza mizozo.
Udikteta, kuminya fikra huru na mawazo huru, ndivyo huleta mizozo kwenye vyama
vya siasa.”</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema ni muhimu wazee
wakawaacha vijana wawe huru kusema wanachofikiri kwa kuwa uhuru wa fikra na
mawazo ni moja ya haki za msingi na moja ya nguzo za demokrasia.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Namheshimu Mtei kama mmoja
wa waasisi na mwenyekiti mwanzilishi wa chama. Chama chetu kimekua na kina uwezo
wa kuhimili demokrasia ya ndani,” alisema Zitto akiongeza kuwa miaka 20 tangu
kuanzishwa kwa vyama vingi, nchi inastahili kuimarisha vyama
kidemokrasia.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Ninarudia, nitaomba
kupeperusha bendera ya chama changu kwenye uchaguzi wa urais mwaka 2015. Naamini
kwamba ninaweza kuwezesha chama chetu kushinda na kuongoza dola na Chadema kutoa
rais wakati baadhi ya waasisi wetu wakiwa hai na kuona vijana wao tunavyobadili
maisha ya Watanzania na kutimiza ndoto zao,” alisema Zitto.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Alisema ana uwezo, uadilifu
na uzalendo wa kutosha kuwa Amiri Jeshi Mkuu na kuunganisha Watanzania kuwa
wamoja bila kujali rika, dini wala makabila yao... “Nimejiandaa kisaikolojia
kukabili changamoto za ufukara wa nchi yetu.”</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Septemba 26, mwaka huu
Zitto alitangaza nia yake hiyo ya kuwania urais mwaka 2015, alipozungumza na
wananchi katika mjadala ulioandaliwa na asasi ya kiraia ya Meza ya Duara
uliofanyika maeneo ya Soko la Mwanga, mjini Kigoma na kuhudhuriwa na watu zaidi
ya 200. Miongoni mwa maswali hayo lilihusu tetesi kwamba anataka kugombea urais
katika uchaguzi ujao. Katika majibu yake Zitto alisema: “Kwanza nataka
niwahakikishie watu wa Kigoma msiwe wanyonge… mna uwezo wa kutoa rais wa nchi
hii.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Nimefanya kazi kubwa
katika ubunge, nimeleta mabadiliko mengi kuanzia bungeni mpaka jimboni. Nadhani
inatosha na hata nikiongezewa miaka mingine sitaweza kufanya yale yaliyonishinda
katika kipindi cha miaka 10. “Kama Mungu ataniweka mpaka mwaka 2015, sitagombea
ubunge tena kwa sababu kazi niliyofanya inatosha.Natangaza rasmi kuwa nitagombea
urais kupitia chama changu cha Chadema, bila kusababisha msuguano wowote na
sitaki kuingia katika historia ya kurudisha nyuma harakati za upinzani kushika
dola. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">“Nataka kuleta changamoto
mpya, nitawaeleza watu wa chama changu nia hiyo na nitatoa hoja za msingi. Hata
kama sitapata ridhaa yao, lakini huo ndiyo msimamo wangu. Iwapo chama kikiona
sistahili au sifai, nitakubaliana na uamuzi huo. Watu wengi wanadhani urais ni
cheo, hawajui kuwa ni nafasi ambayo inakufanya ufanye vitu ambavyo ni vikubwa na
vya maendeleo kwa wananchi.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">” Alipoulizwa kuwa mwaka
2015 atakuwa na miaka 39, hivyo kukosa sifa ya kugombea urais kwa mujibu wa
Katiba alijibu: “Nadhani nina uwezo wa kuwa rais, sidhani kama Katiba inaweza
kumzuia mtu mwenye uwezo asigombee na ndiyo maana ninaamini kuwa kipengele cha
kuwa na miaka 40 kitabadilishwa katika Katiba Mpya.”</span></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"></span></div>
<div style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b>Mwananchi</b></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-86514714189587416892012-10-06T06:43:00.005-07:002012-10-06T06:43:48.039-07:00 TAMKO LA JOHN MNYIKA KUHUSU WIKI YA VIJANA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiibHIlhyMAsidMCVooasFcWCnBczYcp7-H2ZITXmnspHYX1W2A9qPzCuxxyqhZoL1y8L1iUeHfrXUmjt-8W-Qu10Or-BFjKxJTsIhrZdkMhcf8XqgJq6YXZzpc9RWYfMCOjaq8nhhQOQ/s1600/155947_113914002009346_113913842009362_85092_3707585_n.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiibHIlhyMAsidMCVooasFcWCnBczYcp7-H2ZITXmnspHYX1W2A9qPzCuxxyqhZoL1y8L1iUeHfrXUmjt-8W-Qu10Or-BFjKxJTsIhrZdkMhcf8XqgJq6YXZzpc9RWYfMCOjaq8nhhQOQ/s1600/155947_113914002009346_113913842009362_85092_3707585_n.jpg" /></a><span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">TAARIFA KWA UMMA</span></span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Tarehe 4 Oktoba 2012 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fennela Mukangara amezungumza na vyombo vya habari kueleza kuhusu maadhimisho ya Wiki ya Taifa ya Vijana. Waziri ameeleza kuwa maadhimisho hayo yatahusisha maonyesho yatakayoanza tarehe 8 na kufikia kilele chake tarehe 14 Oktoba 2012 kwenye kilele cha mbio za Mwenge na kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu Nyerere mkoani Shinyanga. Waziri ameeleza kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maonyesho na maadhimisho hayo anatarajiwa kuwa Rais Jakaya Kikwete. WAZIRI AELEZE HATUA ILIYOFIKIWA KATIKA KUANZISHA BARAZA LA VIJANA, BENKI YA VIJANA NA KUPANUA WIGO WA AJIRA KWA VIJANA Nikiwa mmoja wa vijana wa Tanzania na mbunge kijana sikubaliani na utaratibu mzima ulivyopangwa wa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fennela Mukangara kutoa ratiba ya maonyesho na maadhimisho mengine bila kueleza hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa ahadi zilizotolewa kwa vijana katika maadhimisho kama hayo mwaka 2011 na pia kuweka mkazo katika maonyesho katika Mkoa mmoja badala ya masuala na matukio muhimu yenye kugusa maisha ya vijana wa katika maeneo mbalimbali nchini mijini na vijijini. Hivyo, natoa mwito kwa vijana katika maeneo mbalimbali nchini kutokubaliana na utaratibu huo wa kuweka kipaumbele katika maonyesho zaidi badala yake wafanye maadhimisho kwa kuweka kipaumbele masuala na matukio yenye kugusa maisha ya vijana na mustakabali wa taifa. Vijana tuitumie wiki hiyo kutafakari masuala ya msingi baina yetu ili tuweze kutimiza wajibu lakini wakati huo huo tuzifuatilie mamlaka zingine zinazohusika na masuala ya vijana kwa upande wao ikiwemo serikali katika ngazi zote kuhusu utekelezaji wa ahadi mbalimbali zilizotolewa kwa vijana kwa nyakati mbalimbali katika mwaka 2011. Kwa upande wangu, naitaka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ieleze hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa ahadi kipaumbele kuhusu ajira kwa vijana na uundwaji wa Baraza la Taifa la Vijana kama ilivyoniahidi bungeni mwaka 2011 na nyingine kuzirejea bungeni mwaka 2012. Kuhusu masuala ya ajira, tulipendekeza bungeni na Wizara ikakubaliana nasi kuanzisha Benki ya Taifa ya Vijana ili kuwezesha vijana wasioweza kumudu masharti ya kibenki katika mfumo wa kawaida wa kibenki kuweza kupata mitaji kwa masharti nafuu kwa ajili ya kujiajiri. Aidha, tulipendekeza na Wizara ikakubali kushirikiana na Wizara zingine ili kuwe na mfumo wa kuwezesha wahitimu wa vyuo kutumia vyeti vyao kama dhamana kuweza kukopa katika mabenki kwa ajili ya kujiajiri. Kuhusu uundwaji wa Baraza la Taifa la Maendeleo ya Vijana, serikali iliahidi kwamba mchakato wa kuundwa kwa baraza hilo ungekamilika katika mwaka wa fedha 2011/2012, hata hivyo mpaka kipindi hicho kinamalizika mwezi Juni 2012 na kuanza kwa mwaka mwingine wa fedha 2012/2013 ahadi hiyo haijatekelezwa. Baraza la Taifa la Maendeleo ya Vijana likianzishwa litaweza kuwaunganisha vijana bila kujali tofauti zao zingine katika kushughulikia vipaumbele 1 mbalimbali vya vijana ikiwemo katika masuala ya elimu, ajira, afya, michezo na maisha ya vijana kwa ujumla. MAADHIMISHO YA WIKI YA TAIFA YA VIJANA YASIFUNIKWE NA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE Oktoba 8 mpaka 14 kila mwaka vijana bila kujali itikadi wanapaswa kuungana kote nchini kuadhimisha wiki ya taifa ya vijana. Hata hivyo, toka wiki hii ilipoanzishwa na Serikali mwaka 2003 imekuwa ikiadhimishwa bila mwitikio wa kiasi cha kutosha katika ngazi mbalimbali isipokuwa katika maeneo ambayo wiki hii imekuwa ikiadhimishwa kitaifa kwa kufanya maonyesho ya namna mbalimbali. Hivyo, nia ya taarifa hii ni kuhimiza vijana, serikali na wadau mbalimbali ili maadhimisho ya mwaka huu yawe na hamasa na maana zaidi kwa maisha ya vijana wa Tanzania na Taifa kwa ujumla. Aidha, maadhimisho ya kila mwaka ya wiki ya vijana yamekuwa yakichanganywa pamoja na kilele cha mbio za Mwenge na Maadhimisho ya siku ya Mwalimu Nyerere kitaifa. Matokeo yake wiki ya vijana imekuwa ikifunikwa na shamrashamra za mbio za Mwenge na hatimaye kupoteza malengo ya msingi ya kushughulikia masuala yanayowagusa vijana moja kwa moja. Pia zaidi ya maadhimisho ambayo yatafanyika kitaifa Shinyanga ni vyema mkazo ukawekwa katika kufanya maadhimisho katika ngazi mbalimbali hususani wilayani. Hivyo maafisa maendeleo wa vijana wa wilaya walau mwaka huu wajitokeze kutembelea vikundi vya vijana,kuratibu matukio ya asasi za vijana na kuhamasisha mijadala ya vijana kuhusu mustakabali wao na taifa kwa ujumla. Taarifa hii inalenga pia kutoa mwito kwa vijana nchini kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya wiki ya taifa ya vijana ya mwaka huu itakayoanza Oktoba 8 ambayo kilele chake kitafikia Oktoba 14. Kila kijana wa Tanzania afanye walau kitu kimoja katika wiki hii kama sehemu ya maadhimisho ya wiki ya jamii-kama ni kusaidia wasiojiweza, kufanya usafi wa mazingira, kufanya majadiliano kuhusu mustakabali wa vijana na taifa, kuonana na viongozi kuzungumza nao kuhusu maendeleo katika maeneo yao kuhusu masuala ya elimu, ajira, afya, ukuzaji wa vipaji vya vijana, michezo, ushiriki wa vijana katika uongozi na mengineyo. Wiki hii ni muhimu kwa sababu kwa upande mmoja, vijana ndio kundi linaloathirika zaidi na mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yanayojiri nchini kwetu na duniani kwa ujumla. Kwa upande mwingine vijana ndio chachu ya mabadiliko katika taifa lolote duniani kutokana na nguvu, ubunifu, na uwingi wetu</span></span><br /><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">. </span></span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Imetolewa tarehe 5 Oktoba 2012 na:</span></span><br /><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">John Mnyika MB </span></span></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-16387662302643525232012-10-06T05:51:00.001-07:002012-10-06T05:51:07.397-07:00<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxLxRdgyswGc5i1J92QTZH0C-VTX2y_DrzBE9jS6bL7AhY_2Wg0xK-Offqj1gSD7fwgHRy1taHp9W06x1qSYGhlKfqhrFxifvjhN2sx3IPJnKcXlspTlzGI0yN4jrm6PfROsJciFmHWA/s1600/mdee+bungeni.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxLxRdgyswGc5i1J92QTZH0C-VTX2y_DrzBE9jS6bL7AhY_2Wg0xK-Offqj1gSD7fwgHRy1taHp9W06x1qSYGhlKfqhrFxifvjhN2sx3IPJnKcXlspTlzGI0yN4jrm6PfROsJciFmHWA/s1600/mdee+bungeni.jpg" /></a><span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Hivi karibuni Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Terezya Huvisa walitoa tamko kwamba nyumba zote zilizojengwa kando kando ya fukwe za bahari na mito zitabomolewa, bila wamiliki kulipwa fidia kutokana na kukiuka Sheria za Ardhi na Mazingira za mwaka 1992, 1995 na 2004. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Kauli hiyo ilitokana na ukweli kwamba imekuwa ni jambo la kawaida kwa watu wenye nguvu ya fedha kuharibu mazingira kwa makusudi pasipo kujali athari ambazo zinaweza kutokea sasa na baadae kwa wakazi wa maeneo husika, jamii inayowazunguka na taifa kwa ujumla! </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Kwa watu wengi, kauli ya mawaziri hao ilionekana kama ni hatua muhimu sana katika kulinda mazingira ya fukwe zetu na jamii nzima hasa kutokana na umuhimu wa kulinda mazingira katika wakati huu wa athari za mabadiliko ya tabia nchi. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Lakini baadhi yetu tuliona kama ni mwendelezo wa kauli za Serikali ambazo utekelezaji wake ama huwa ni wa mashaka au ukitekelezwa basi utekelezaji wake hutawaliwa na upendeleo wa hali ya juu kwa watu wenye fedha na nafasi kubwa serikalini (vigogo). </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Moja kati ya nyumba iliyotakiwa kubomolewa imejengwa kwenye viwanja namba 2019-2020 Kawe Beach, katika fukwe za Bahari ya Hindi. Viwanja ambavyo vilipatikana kwa ushirikiano wa Mchungaji Lwakatare na tapeli maarufu wa Ardhi jijini Dar es salaam, anayejulikana kwa jina la Frank Mushi. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Ikumbukwe kwamba katikati ya mwezi Julai, 2012 wananchi waliojenga nyumba katika maeneo yanayosemekana ni tengefu ya Jangwani Beach, Mto Ndumbwi na Mto Mbezi walivunjiwa nyumba katika operesheni iliyoendeshwa na Baraza la Mazingira la Taifa (NEMC). </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Operesheni ambayo ilihusisha takriban nyumba 15 na kuta ( fences) 8. Katika nyumba hizo, mojawapo iliyotakiwa kuvunjwa ni ya Mchungaji Getruda Lwakatare. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Lakini kwa sababu ambazo wahusika, akiwemo yeye mwenyewe na serikali, wanazifahamu, nyumba yake haikuguswa! Wakati wananchi wanaofahamu ukweli wa mambo, wakiwa bado wanahoji chinichini juu ya upendeleo wa kitabaka ulio wazi, hivi karibuni wameshuhudia kupitia njia mbalimbali za upashanaji habari, ikiripotiwa kuwa Mchungaji Lwakatare (Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God na Mbunge wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ) amehamia kwenye nyumba yake mpya. Nyumba ambayo ilipaswa kuwa imebomolewa kwa sababu imejengwa kwenye viwanja ambavyo ni kinyume cha sheria kujenga katika maeneo hayo. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Kuvunja sheria kwa uwazi namna hii, huku wengine wakichukuliwa hatua kwa kuvunja sheria hiyo hiyo, si tu ni ’double standards’, bali kunaweza kutafsiriwa ni kuitia serikali mfukoni. Kitu kibaya zaidi ni kwamba kiongozi huyo alishataarifiwa tangu mapema juu ya ubatili wa kujenga katika eneo hilo, kupitia kwa huyo Frank Mushi kabla hata ujenzi wa nyumba hiyo haujaanza. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Ikumbukwe pia kuwa viwanja hivyo vilipatikana na ujenzi huo kuwezekana baada ya eneo la bahari na mto kujazwa kifusi na mawe! Kwa kutambua kuwa kuendelea na ujenzi katika eneo hilo ni kuvunja sheria za nchi zinazohusu utunzaji wa mazingira kwa manufaa ya jamii nzima, Mchungaji Lwakatare aliendelea kwa kujiificha nyuma ya mgongo wa huyo Mushi, akijifanya hahusiki kabisa na kilichokuwa kikiendelea katika eneo husika. Uthibitisho wa ubatili wa kujenga katika viwanja husika: 1) Tarehe 4/1/2011 Wizara ya Ardhi kupitia barua yenye Kum. Namba LD/297571/18 waliandika barua kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kuhusiana na uvamizi wa kiwanja nana 2019 na 2020 Mbezi Kawe. Barua husika pamoja na mambo mengine ilibainisha kwamba wizara imefanya ukaguzi katika viwanja tajwa, baada ya kupata malalamiko juu ya uharibifu wa mazingira unaoendelea katika eneo hilo. Na kwamba ukaguzi walioufanya umeonesha kuwa ujenzi unaofanyika katika eneo husika hauruhusiwi na unakiuka Tangazo la Serikali (GN) No. 76 ya mwaka 1992. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Kupitia barua hiyo, wizara ilimtaka Mkurugenzi wa Halmashauri kuchukua hatua za kubomoa/kuondoa uendelezaji batili uliokuwa ukifanyika katika viwanja Na 2019 na 2020 Mbezi Kawe. Barua hiyo ilisainiwa na Bwana Sadoth K. Kyaruzi, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara. 2) Uthibitisho mwingine ni barua ya tarehe 30/9/2011 kutoka NEMC kwenda kwa Bwana Frank Mushi. Barua husika, ilitoa maelekezo kwa Mushi kuvirudisha katika hali yake ya kawaida, viwanja namba 2019-2020 kwa mujibu wa vifungu 55(2) (a) (e), (3) na 151 (1) ,(2) (a), (b), (3) ,(4) (b) na (f) vya Sheria ya Mazingira, sura 191 ya mwaka 2004. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Barua husika inabainisha kwamba timu ya wataalam toka Baraza la Mazingira (NEMC), Wizara ya Maji, Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam na Manispaa ya Kinondoni ilitembelea eneo husika kufuatia malalamiko kutoka kwa viongozi na wakazi wa Kawe Beach. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Timu hiyo ilibaini kwamba eneo la Mto Ndumbwi, pamoja na bahari lilikuwa linajazwa mawe na vifusi hali iliyosababisha kupatikana kwa viwanja na 2019 na 2020. Ambapo ndani ya viwanja hivyo lilikuwa linajengwa jumba kubwa kinyume kabisa na vifungu 55(2)(a) , 55(2) (b) , 55(2)(d) na 55(2)(e) vya Sheria ya Mazingira. Ilibainika pia kuwa mikoko ilikatwa kinyume na s.63(1) ya Sheria ya Mazingira. Kwa mujibu wa nyaraka nilizonazo, yafuatayo yalijitokeza i) Timu ya wataalam ilibaini kwamba, tayari Wizara ya Maliasili na Utalii ilishatoa zuio la ujenzi katika eneo husika. ii) Manispaa ya Kinondoni, mara kadhaa iliweka zuio la uendelezaji na kutoa amri kwa ’mmiliki’ wa eneo husika kubomoa, lakini mmiliki huyo alipuuza amri hiyo na kuendelea na ujenzi! iii) Ilitolewa amri ya Mahakama, tarehe 5/4/2011 kumtaka Bwana Mushi asiendelee na ujenzi. Amri hiyo ilipuuzwa na ujenzi ukaendelea. Baraza la Mazingira lilimwagiza tena, Bwana Mushi:-2) Kuvunja majengo yote yaliyoko kwenye viwanja vyenye mgogoro. 3) Ndani ya siku saba, tokea amri husika kutolewa (amri ilitolewa 30/9/2011) awe ametoa mawe na vifusi vyote vilivyoharibu mkondo wa maji na bahari na kuurudisha mto na bahari katika hali yake ya kawaida. 4) Ndani ya siku 30 chini ya usimamizi wa Wizara ya Maliasili na Utalii kuhakikisha kwamba mikoko yote iliyokatwa imerudishwa katika hali iliyokuwa awali. Kwa gharama za Bwana Mushi. Licha ya amri zote hizo, mazuio yote hayo, matamko ya mawaziri yaliyotawaliwa na mbwembwe nyingi, ujenzi uliendelea, nyumba imekamilika. Sasa inatumika. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Wakati kigogo huyo amehamia kwenye nyumba yake kwa matangazo na mbwembwe, Mto Ndumbwi, bahari na mazingira kwa ujumla yameharibiwa vibaya! Bila kusahau kuwa wananchi wengine wamebomolewa nyumba zao kwa kutumia sheria hizo hizo. Kwa mujibu wa Sheria ya Mazingira, Sura 191 ya mwaka 2004, Fungu 57(1) hairuhusiwi kufanya shughuli zozote za kudumu za kibinadamu ndani ya mita 60 ambazo kwa asili yake zinaweza kuhatarisha au kuathiri vibaya ulinzi na utunzaji wa mazingira, utunzaji wa bahari, kingo za mto, bwawa au mwambao wa asili wa ziwa. Halikadhalika, Sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka 1999 ( Sura 113) Fungu 7 (1) (d) inabainisha kwamba eneo lolote lililo ndani ya mita 60 kutoka kingo ya mto na bahari linatakiwa kutangazwa kama ardhi hatari au kuhifadhiwa. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Na pale inapotokea kuwa masharti ya sheria moja yanapingana na masharti ya Sheria ya Mazingira, kuhusu mambo yanayohusu usimamizi wa mazingira, Sheria ya Mazingira ndiyo hutumika, kwa mujibu wa Fungu 232 la sheria ya mazingira sura Kutokana na hali hii serikali inatakiwa kujinasua katika mwendelezo wa tafsiri wanayoipata wananchi kuwa imetekwa na kuwekwa mfukoni na watu wachache wenye uwezo. Maana wanaona kuwa huu ni mwendelezo wa serikali kuwa na kigugumizi pale sheria zinapovunjwa na vigogo serikalini au watu wenye fedha wanaoshirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali na chama tawala kufanya ufisadi. Wameona mambo ya namna hii mara kadhaa, ikiwemo serikali kushindwa kuwachukulia hatua waliohusika na kashfa kubwa za ufisadi kama ’akina’ Kagoda na wenzake (EPA), Richmond na kashfa nyingine nyingi. Kwamba sasa inazidi kuonekana dhahiri kuwa kuna watu wako juu ya sheria za nchi, huku wanyonge wakishughulikiwa.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Ni wakati mwafaka sasa kwa mawaziri wanaohusika na masuala ya ardhi na mazingira kuwaeleza Watanzania kulikoni wananchi wa hali ya chini kuvunjiwa nyumba zao kwa kigezo cha kuvunja sheria wakati huo huo Mchungaji Lwakatare (kigogo) ambaye uharibifu wake ni wa hatari kuliko hata hao waliovunjiwa akitamba mtaani kwamba yeye yuko juu ya sheria na hakuna mamlaka yoyote yenye uwezo wa kumzuia kufanya alichofanya! Ni aibu kwa Taifa kuwa na viongozi wa aina hii! Viongozi ambao wako tayari kutumia fedha, hila, mamlaka na dhamana za uongozi walizopewa, kuhalalisha haramu, ni janga kwa mstakabali wa taifa letu! </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Waziri Kivuli, Wizara ya Ardhi , </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Nyumba na Maendeleo ya Makazi</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Imetolewa Dar es Salaam na;</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Trebuchet MS", sans-serif; font-size: medium;">Halima Mdee (MB)<br /><br />Waziri Kivuli, Wizara ya Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi</span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-2779406979002559912012-10-06T04:39:00.001-07:002012-10-06T04:39:38.851-07:00Picha za M4C Terrat Simanjiro<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg6pAehL2BIAXWYXZ5ohGti37QNdcYxdpaNcJOw6uR7dD6Kww7ivfRcW-uquhjCkn689jcyARwZsTwHSlbIujL11bIocNbOlr98fgpKAL7UGxVXLK5MtexKP1ZLgLulwx3ca5DWcOYLyQ/s1600/lema1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg6pAehL2BIAXWYXZ5ohGti37QNdcYxdpaNcJOw6uR7dD6Kww7ivfRcW-uquhjCkn689jcyARwZsTwHSlbIujL11bIocNbOlr98fgpKAL7UGxVXLK5MtexKP1ZLgLulwx3ca5DWcOYLyQ/s320/lema1.jpg" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Kamanda Lema akitoa kadi kwa wananchi </td></tr>
</tbody></table>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRaFt3YW9VAE3qgj4maXk4rurDtC_my199miQOdAmPLt4M1Jap45WI9FOUct3eJBUgRd4GV_qRbulFxLAVNPxh3CD-Ntv7UwSjrx4oX_huUhcI6_cgfEC5TCmvEq6juywB1IyP-TsjCw/s1600/makala1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiRaFt3YW9VAE3qgj4maXk4rurDtC_my199miQOdAmPLt4M1Jap45WI9FOUct3eJBUgRd4GV_qRbulFxLAVNPxh3CD-Ntv7UwSjrx4oX_huUhcI6_cgfEC5TCmvEq6juywB1IyP-TsjCw/s320/makala1.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOggi2s16oiGYDzLgnZx5ixaxFeu52s-auTscKSx7WnysXFsLv8dBwz0tvRR1Wb1d08rMqdiEKR8YTXhrDO_TifngOOrzqALcnIlwsNwQ4EsE9jxBZJj3dmNG2wOTT_rUobzEJkTyscQ/s1600/makala4.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhOggi2s16oiGYDzLgnZx5ixaxFeu52s-auTscKSx7WnysXFsLv8dBwz0tvRR1Wb1d08rMqdiEKR8YTXhrDO_TifngOOrzqALcnIlwsNwQ4EsE9jxBZJj3dmNG2wOTT_rUobzEJkTyscQ/s320/makala4.jpg" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Jackson Makala na James Olle Millya</span></span></td></tr>
</tbody></table>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnl4sqeYpcjUJ0XxRbTP53nLjkksVOSXBhjvHg3LqG0_aQ5iv23B4kuR7RaZw3ekQnYFCyqN_KiZ9KIW-WNaZNB31cBzQ1P72VWx5eZpjX_V-PvOQNo83IWxfhnwLpSMPCG86r7uGGKA/s1600/makala.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgnl4sqeYpcjUJ0XxRbTP53nLjkksVOSXBhjvHg3LqG0_aQ5iv23B4kuR7RaZw3ekQnYFCyqN_KiZ9KIW-WNaZNB31cBzQ1P72VWx5eZpjX_V-PvOQNo83IWxfhnwLpSMPCG86r7uGGKA/s320/makala.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjXVV3SkMBheksl422sxRkr0OiC0w2kp-Www2cc-ztUEYWFREihBsocz9R5CYO82x17RIxOLnNiQyiFirvEJ7CTJhxu9EGskjUuBDpSx_hogFZn07nyZKAfvG1vPbJa2y_18yukeH5NLQ/s1600/makala5.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjXVV3SkMBheksl422sxRkr0OiC0w2kp-Www2cc-ztUEYWFREihBsocz9R5CYO82x17RIxOLnNiQyiFirvEJ7CTJhxu9EGskjUuBDpSx_hogFZn07nyZKAfvG1vPbJa2y_18yukeH5NLQ/s320/makala5.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjquLnCVAODw6cXzxLnRbgB-S2ltGLgIxHwJo3iZokxEdDwdW9Va5DBG22l5qxZBN6LFa23L6JIfVW_KOtLtLqeAByjJKJuB2CBR8Q58QWWkT5CLB375ckx1_SyawBkjJ3p72WprEkpLQ/s1600/makala6.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjquLnCVAODw6cXzxLnRbgB-S2ltGLgIxHwJo3iZokxEdDwdW9Va5DBG22l5qxZBN6LFa23L6JIfVW_KOtLtLqeAByjJKJuB2CBR8Q58QWWkT5CLB375ckx1_SyawBkjJ3p72WprEkpLQ/s320/makala6.jpg" width="320" /></a></div>
<br />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-42958770768180438192012-10-05T06:01:00.001-07:002012-10-05T06:01:29.364-07:00DAR NI SISI- BAADHI YA WANANCHI WAKIELEZEA HALI HALISI YA MAISHA YA DAR<iframe allowfullscreen="allowfullscreen" frameborder="0" height="315" src="http://www.youtube.com/embed/aIIggNT3lOs" width="560"></iframe><br />
<br />
VIDEO BY TWAWEZA ORG.Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-76221181326028221642012-10-05T04:31:00.001-07:002012-10-05T04:31:38.099-07:00Sumaye ateta na Chadema<div style="text-align: justify;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhe8xF2ezZ2cq7rBW-zYep9WKGLdycexrhXfw4QnAucNIvXHh8t1iTQnFuphQcQo93tBRYQ-0movtOjiuzqPYDwCXssDH_9JUOJjGsNsKvWjUFUMJt_UHRfIOmKF4UXhtuaLlhO0cfr0g/s1600/SAM_2122.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhe8xF2ezZ2cq7rBW-zYep9WKGLdycexrhXfw4QnAucNIvXHh8t1iTQnFuphQcQo93tBRYQ-0movtOjiuzqPYDwCXssDH_9JUOJjGsNsKvWjUFUMJt_UHRfIOmKF4UXhtuaLlhO0cfr0g/s320/SAM_2122.JPG" width="240" /></a></div>
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><strong></strong></span><br />
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><strong>NI KUHUSU MUSTAKABALI WAKE KISIASA</strong></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><br />SIKU chache baada ya kushindwa katika uchaguzi wa ndani kwenye nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (Nec), Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amekutana na viongozi wa Chadema ikidaiwa kuwa ni kujadili pamoja na mengine, uwezekano wa kuhamia huko ili agombee urais katika Uchaguzi Mkuu ujao 2015.<br />
<br /></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Sumaye ambaye anatajwa kuwa alikuwa na mpango wa kuwania urais kupitia CCM, alishindwa katika uchaguzi wa kuwania ujumbe wa Nec, baada ya kupata kura 481 dhidi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji na Uwekezaji), Dk Mary Nagu aliyepata kura 648.</span><br />
<span style="font-family: Arial;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Taarifa zilizothibitishwa na baadhi ya viongozi wa Chadema, zimeeleza kuwa Sumaye hakuridhishwa na mchakato wa uchaguzi huo wa Nec na kwa matokeo hayo, alikutana na viongozi wa Chadema kujadili mustakabali wake kisiasa.</span><br />
<span style="font-family: Arial;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Jana, mjumbe mmoja wa Kamati Kuu ya Chadema, ambaye aliomba jina lake lisiandikwe gazetini, alithibitisha Sumaye kukutana na viongozi wa Chadema. Hata hivyo alisema hawajafikia mwafaka.</span><br />
<span style="font-family: Arial;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Alisema mawasiliano ya Chadema na Sumaye yalianza mara tu baada ya matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika Septemba 30, mwaka huu yaliyomwengua kigogo huyo kwenye kinyang’anyiro hicho.</span><br />
<span style="font-family: Arial;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">“Ni kweli kuna watu wa CCM tumewasiliana nao baada ya uchaguzi ule (wa Nec) na Sumaye tunawasiliana naye pia lakini siwezi kusema tumefikia wapi,” alisema mjumbe huyo na kuendelea: “Suala kwamba amekubaliwa kujiunga na Chadema au la, nadhani huu ni uamuzi wake. Ninachoweza kusema ni kwamba vikao vilikuwepo na vinaendelea kukaliwa.”</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Alisema baada ya matokeo ya Hanang’ na hali ya kisiasa ndani ya CCM, Chadema kimekuwa kikiwasiliana na Sumaye na kikubwa ambacho kinajionyesha ni kada huyo wa CCM kutoridhishwa na hali ya mambo ndani ya chama chake.</span><br />
<span style="font-family: Arial;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Mjumbe huyo wa Chadema alisema chama hicho Wilaya ya Hanang’ kinaandaa mkutano maalumu wa kuwapokea wanachama wapya wa CCM, wengi wao wakiwa baadhi ya walioanguka kwenye uchaguzi wa Nec wilayani humo.</span><br />
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><br />Habari zaidi zimeeleza kuwa Chadema kimepanga siku yoyote juma lijalo, kuwapokea wanachama wapya kutoka CCM, baadhi wakiwa wale walioshindwa kwenye uchaguzi wa ndani ya chama hicho uliofanyika wilayani Hanang’.<br />
<br />Mmoja wa watu wa karibu na Sumaye alisema anachojua ni kwamba Chadema wanamtaka Sumaye na siyo Sumaye kukitaka chama hicho cha upinzani.</span><br /></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">“Wamekuwa wakimfuatafuata mara nyingi na mazungumzo ya aina hiyo si mageni baina ya Sumaye na Chadema. Ila ninachoweza kusema, safari hii chochote kinaweza kutokea kutokana na hasira alizonazo (Sumaye). Ngoja tusubiri, atafanya mkutano na waandishi Jumapili.”<br /><br />Sumaye, Mbowe wazungumza<br />Alipoulizwa kuhusu madai hayo, Sumaye alisisitiza kuwa atazungumzia masuala yote yanayohusiana na uchaguzi huo wa Hanang’ atakapokutana na waandishi wa habari, Dar es Salaam.</span><br />
<span style="font-family: Arial;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">“Nitakutana na waandishi wa habari kuzungumzia kilichotokea naomba tu mwendelee kunipa muda,” alisema Sumaye na kuongeza kuwa alikuwa akijiandaa kwa safari ya kwenda Dar es Salaam.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema asingependa kuzungumzia suala hilo kwa kuwa yeye si msemaji wa Sumaye... “Sitaki kumzungumzia Sumaye. Mimi si msemaji wake. Tumsubiri yeye azungumze kuhusu hilo.”</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Kada wa CCM Hanang’ anena</span><br />
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><br />Katika hatua nyingine, aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Hanang’, Goma Gwaltu amekionya chama hicho kuwa kisipodhibiti vitendo vya rushwa katika chaguzi zake, kitakufa.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Gwaltu alisema jana kwamba kwa mazingira yaliyopo sasa ndani ya CCM bila hatua kali kuchukuliwa, kiongozi asiye na fedha hawezi kushika uongozi na ndiyo sababu anaungana na wana-CCM wengine katika wilaya hiyo, ambao wanafikiria kukihama chama hicho.</span><br />
<span style="font-family: Arial;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">“Kama wewe una nia ya kuendelea na siasa siyo rahisi kushinda hapa Hanang’ ukiwa hukubaliani na watu fulani, sasa mimi naona ni bora tu kutafuta chama kingine kwani siyo dhambi,” alisema Gwaltu bila kuwataja ambao wanataka kuhama CCM.</span><br />
<span style="font-family: Arial;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Hata hivyo, Gwaltu alisema kwa upande wake, hafikirii kuendelea na mambo ya siasa wala kulalamika makao makuu ya CCM kuhusiana na alichokiita hujuma alizofanyiwa</span><br />
<br />
<div style="text-align: center;">
Kwa habari kamili tembelea:</div>
<div style="text-align: center;">
<a href="http://mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/26413-sumaye-ateta-na-chadema.html">http://mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/26413-sumaye-ateta-na-chadema.html</a></div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-72265138267029082362012-10-05T04:21:00.001-07:002012-10-05T04:21:23.445-07:00MBUNGE WA MUSOMA MJINI, VICENT NYERERE (CHADEMA) AMETOA RUNIGA KWA WAFANYABIASHARA WA SOKO KUU LA MUSOMA ILI WAWEZE KUPATA HABARI WAWAPO KAZINI<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnD7PZGYvd0mIXWpgKjraeeuqKlUUFeD6U3CoLjMViplRGxxQyHVahGuJ800FPu-N-wL_8AUWAaIodLDilvrD_2dpnn3Hp6-s6_ht4pX211H1DKV6VR23I8tZLsS4EMfiri0LFpNegBA/s1600/V+NYERERE.png" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnD7PZGYvd0mIXWpgKjraeeuqKlUUFeD6U3CoLjMViplRGxxQyHVahGuJ800FPu-N-wL_8AUWAaIodLDilvrD_2dpnn3Hp6-s6_ht4pX211H1DKV6VR23I8tZLsS4EMfiri0LFpNegBA/s1600/V+NYERERE.png" /></a><span style="font-family: Arial;"><span style="color: black;"><span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"></span></span></span></span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Arial;"><span style="color: black;"><span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;">MBUNGE wa Musoma Mjini, Vicent Nyerere (CHADEMA), amekabidhi runinga 10 kwa wafanyabiashara wa soko kuu la Musoma mkoani Mara. Mbunge huyo alikabidhi runinga hizo jana, zenye thamani ya Sh milioni 9, katika eneo la ndani ya soko hilo lenye wafanyabiashara wengi.<br /><br />Nyerere alisema kuwa, wafanyabiashara wa sokoni wamekuwa wakikosa haki ya kupata habari za uhakika, kutokana na kushinda kutwa nzima sokoni.<br /><br />“Wafanyabiashara wa sokoni ni watu wa kuhangaika, hawana televisheni katika maeneo yao ya kazi na wanaporudi nyumbani, hupata habari za kusikia kwa watu,” alisema.<br /><br />Amesema runinga hizo zitawasaidia kupata habari za mambo mbalimbali yanayoendelea nchini, ikiwa ni pamoja na uendeshwaji wa vikao vya Bunge.<br /><br />“Wanapitwa na mambo mengi, vikao vya Bunge huanza asubuhi muda ambao wafanyabiashara hawa wapo sokoni, wanakosa haki ya kupata habari,” alisema.<br /><br />Akipokea runinga hizo kwa niaba ya wafanyabiashara, Ofisa Biashara wa Manispaa ya Musoma, God Machumu, alimpongeza mbunge huyo kwa kutimiza ahadi yake kwa wananchi.<br /><br />Mbali ya kupokea runinga hizo, wafanyabiashara hao walimweleza mbunge huyo changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo katika soko hilo.<br /><br />Miongoni mwa changamoto hizo, ni pamoja na usumbufu nyakati za masika, kutokana na soko hilo kujaa maji, hali inayosababishwa na soko hilo kukosa mitaro ya maji.<br /><br />Tatizo la ulinzi katika soko hilo limeelezwa kuwa, kikwazo katika maendeleo ya wafanyabiashara hao kwa madai kuwa, wamekuwa wakiibiwa mali zao kutokana na kutokuwepo kwa ulinzi wa kuaminika.</span></span></span></span></span></div>
<span style="color: black;"><span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"></span></span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-25939613748114629032012-10-04T05:43:00.001-07:002012-10-04T05:43:33.826-07:00Dr Slaa kutikisa Arusha Siku ya Jumamosi<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgFvfwHMYejd0m6u-GYBMa3yN9aw1YtEeITtLs8zm-1F-jEwa7zvKiKmuzwX6nB56PDdOv70J4L1SFfeAv8XzmF_GENZG902thHcqBJKw7KmWwIFh4IE5UOHR_IcARO-i1obIuyZG6tLA/s1600/dkt+slaa3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgFvfwHMYejd0m6u-GYBMa3yN9aw1YtEeITtLs8zm-1F-jEwa7zvKiKmuzwX6nB56PDdOv70J4L1SFfeAv8XzmF_GENZG902thHcqBJKw7KmWwIFh4IE5UOHR_IcARO-i1obIuyZG6tLA/s320/dkt+slaa3.jpg" width="320" /></a></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anatarajiwa kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika jiji la Arusha siku ya Jumamosi tarehe 06.10.2012 kuanzia saa 8 mchana. Pamoja na mambo mengine Kiongozi huyo wa CDM pia atatumia mkutano huo kuzindua rasmi kampeni za udiwani katika kata ya daraja mbili,uzinduzi huo utafanyika katika viwanja vilivyopo mtaa wa NDARVOI.<br /><br />Tayari kuna hekaheka kubwa katika jiji la Arusha kuhusiana na mkutano huo ambapo mazungumzo ya watu mbalimbali yanazungumzia mkutano huo unaotarajiwa kuwa gumzo.<br /><br />Taarifa za awali zinasema mkutano huo pia utatumika kufuta nyayo za chama cha CUF ambacho kilisomba watu Dar-es-Salaam kwenda kuwahutubia Arusha ili kuepuka aibu ya kukosa watu.Pia inadaiwa wananchi wa Arusha wamedhamiria kuonyesha dunia uungaji mkono wao kwa chama cha CDM.<!-- google_ad_section_end --></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-14336134750321741962012-10-04T05:32:00.000-07:002012-10-04T05:32:07.612-07:00Zitto Kabwe Achangia Bima Ya Afya Ya Mjane Wa Mwangosi Na Wanae Kupitia NSSF<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgfWfWY_GG3WlwytsMJypPrxwVXdQGfhWtY-ShalogRYy4BJZnAgsg9X94hG15E03JhG9FmBQwLh64v0efal0ciRwt9qaW3jG7-Q8-uX1Jte7NU29-oZB231ONtMQCVveuJYvUwD1fJLg/s1600/3.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgfWfWY_GG3WlwytsMJypPrxwVXdQGfhWtY-ShalogRYy4BJZnAgsg9X94hG15E03JhG9FmBQwLh64v0efal0ciRwt9qaW3jG7-Q8-uX1Jte7NU29-oZB231ONtMQCVveuJYvUwD1fJLg/s400/3.JPG" width="400" /></a></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">KATIKA siku ya mwisho ya harambee ya kumchangia mjane wa marehemu Daud Mwangosi, Ndugu Zitto Kabwe amejitolea kumchangia mjane wa marehemu kwa kumlipia ada ya uanachama wa Mfuko wa Hifadhi ya Kijamii (NSSF) kwa kila mwezi na kwa miaka mitatu mfululizo. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">" Nimeona nami niunge mkono harambee hii. Pamoja na michango ya fedha iliyotolewa kumsaidia mjane kuanzisha mradi wa kujikimu, mimi naona ni muhimu pia mjane akawa na hakika ya huduma ya afya yake na watoto wake wanne. Hivyo, mchango wangu utakuwa ni kwenye eneo hilo la Bima ya Afya na kwa miaka mitatu." Anasema Zitto Kabwe alipoongea na Mjengwablog.com, mtandao wa Kijamii ulioratibu harambee ya mjane wa Daud Mwangosi. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> Hii ni mara ya pili kwa Ndugu Zitto Kabwe kuchangia kwenye masuala ya kijamii kupitia mtandao wa kijamii wa Mjengwablog.com, mara ya kwanza ni alitoa mchango wake pale Mtandao wa Mjengwablog.com ulipoendesha harambee ya kuwachangia watoto wa Somalia waliokuwa katika hatari ya kufa kwa njaa. Katika harambee iliyomalizika Jumapili ya Septemba 30 mwaka huu na iliyochukua kipindi cha mwezi mmoja,zaidi ya shilingi milioni tano na nusu zimekusanywa.</span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> Mchango huo wa Ndugu Zitto Kabwe una maana mjane wa marehemu ataweza kuwa na hakika ya yeye na watoto wake wanne kupata huduma za afya bila kufikiria malipo kwa kipindi cha miaka mitatu. Baada ya hapo,michango ya mjane huyo ya kila mwezi kwa mfuko huo wa hifadhi ya kijamii ( NSSF) ambayo atakuwa akilipiwa na Ndugu Zitto Kabwe itakuwa ni malimbikizo ya akiba yake ambayo mjane atakuwa na uwezo wa kuichukua kama akipenda. Kwa sasa mjane wa Daud Mwangosi hayuko kwenye utaratibu wowote wa Bima ya Afya, kwake yeye na wanawe. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Harambee ya mjane wa Daud Mwangosi iliyoendeshwa kwa uwazi kwa njia ya MPESA, TigoPesa, Airtel Money, NMB Mobile na Western Union ilimwezesha mchangiaji kuliona jina lake na mchango wake kwenye orodha ya wachangiaji iliyokuwa ikiwekwa mtandaoni kila siku. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Michango ilikuwa ni hiyari, hakuna aliyeombwa kutoa na utaratibu haukuruhusu ahadi za kuchangia, bali, mwenye nacho alitoa na hapo hapo kuorodheshwa kama mchangiaji. Utaratibu haukuruhusu pia michango iliyofungamana na siasa za vyama. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Hatua hiyo ya uwazi na kutanguliza ubinadamu na si itikadi kwenye uchangiaji imechangia kupelekea Watanzania wengi wa kada zote, kwa namna moja au nyingine kushiriki kwenye kuchangia. Kuna waliochangia shilingi elfu moja na kuna waliochangia mpaka shilingi milioni moja. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> Ari hii ya Watanzania kujitolea kusaidiana kwenye hali kama iliyomkuta mjane wa Daud Mwangosi imedhihirisha umoja na upendo tulionao kama Watanzania, na pia imeonyesha jinsi tunavyoijali amani yetu na hivyo jamii, kupitia michango hii, imeonyesha pia kwa vitendo, dhamira ya kulaani kwao vitendo vya maovu na vinavyotokana na matumizi ya nguvu yasiyo ya lazima kama kile kilichomtokea mwandishi Daud Mwangosi. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Baadhi ya watu maarufu katika jamii waliojitokeza kwa hiyari yao kumchangia mjane wa Daud Mwangosi kupitia mtandao wa kijamii wa Mjengwablog.com ni pamoja na Shy- Rose Bhanji, Ananilea Nkya, John Bukuku ( Mmiliki wa Fullshangwe.blog) na Ndugu Mobhare Matinyi aliyepata kuwa mhariri wa gazeti la Majira. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;">Michango kwa mjane wa Daud Mwangosi itaingizwa kwenye akaunti ya mjane ya CRDB, Iringa leo alhamisi, Oktoba 4, 2012. Vielelezo vya kibenki vitawekwa kwenye mtandao wa Mjengwablog.com kwa kila mmoja kuona jumla iliyowasilishwa kwa mjane na orodha ya majina ya wachangiaji. </span></span><br /><br /><span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"> Chanzo: <a href="http://www.mjengwablog.com/2012/10/zitto-kabwe-achangia-afya-ya-mjane-wa.html">http://www.mjengwablog.com/2012/10/zitto-kabwe-achangia-afya-ya-mjane-wa.html</a></span></span></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-79273769106150777212012-10-04T05:25:00.001-07:002012-10-04T05:25:23.993-07:00<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6FH8nswKXZ_6sPhrHzWaOzH5-mp2IuglVj794OC1FVfMkN2wYC9djKf1hgKGnviexuhDb-tI_ytudRSiUTl4Tjz0tGCddTnlef-B63CPFe_x8wBe9-a5hZrCZhiPIYG2_G2eRm7DPBg/s1600/CCM-%2520CUF.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6FH8nswKXZ_6sPhrHzWaOzH5-mp2IuglVj794OC1FVfMkN2wYC9djKf1hgKGnviexuhDb-tI_ytudRSiUTl4Tjz0tGCddTnlef-B63CPFe_x8wBe9-a5hZrCZhiPIYG2_G2eRm7DPBg/s1600/CCM-%2520CUF.jpg" /></a><span style="font-family: Arial;"><span style="color: black;"><span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-family: georgia;"></span></span></span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Arial;"><span style="color: black;"><span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-family: georgia;">MIAKA michache iliyopita niliandika makala ndefu sana nikiwashauri Watanzania wenzangu waliokuwa wanapigania sana vyama viungane ili kuwa na upinzani dhidi ya chama tawala na hatimaye kukiangusha chama tawala.<br /></span><span style="font-family: georgia;">Naomba nikupitishe kwa kifupi sana msomaji wa kona hii kwenye makala ile ya Oktoba 8, 2008.</span></span></span><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Niliamua kutumia makala nzima kueleza kwa kinagaubaga mawazo yangu kuhusu ushirikiano wa vyama vya upinzani ambao ulikuwa ukipigiwa upatu sana na Watanzania kwa muda mrefu. Siku hiyo niliwaambia kwamba ni vema ushirikiano wa vyama vinne vya upinzani (CHADEMA, CUF, NCCR-MAGEUZI na TLP) ukavunjika kwa masilahi ya taifa.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Nilieleza jinsi vyama vya upinzani vilivyoungana Kenya lakini baada ya kuing’oa KANU kulizuka mgogoro wa chama hiki kudai kupewa mawaziri wachache, kile kikidai kunyimwa wizara nyeti, hiki hapa kikidai makubaliano yamekiukwa na mambo kadha wa kadha mpaka wakagombana. Walisambaratika na kumlazimisha Rais aliyetokana na upinzani kuanzisha ushirikiano mpya na Rais aliyeondoka madarakani na hivyo kufifisha vita dhidi ya ufisadi na kusababisha serikali iliyokuwa madarakani ionekane ya ufisadi sawa na ile serikali iliyokuwa imepita.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Huo ndiyo ushirikiano wa vyama vya upinzani unaotafutwa na Watanzania?</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Niliwatahadharisha Watanzania kwamba hatuhitaji ushirikiano wa vyama vya upinzani wenye lengo la kuing’oa CCM madarakani. Tunahitaji Tanzania mpya yenye kutoa fursa kwa kila raia kufaidi rasilimali za nchi hii na kujiletea maendeleo bila kujali katokea kundi gani.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ushirikiano wa CHADEMA, CUF, NCCR na TLP hautafanikisha hayo.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Niliwashauri Watanzania tuwaruhusu wapinzani wavunje ushirikiano wao halafu wajijenge kama chama kimoja kimoja na ndipo tutakapoona chama chenye mwelekeo wa kuleta maendeleo tukipe kura.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Siku hiyo nilisema: “Natamani chama kama CHADEMA, ambacho kimejipambanua hivi karibuni kuwa chama makini chenye sera nzuri zilizopata kusifiwa hata na Mwalimu Nyerere wakati wa uhai wake na ambacho hivi karibuni kimewaonyesha Watanzania kwamba kumbe inawezekana kuiondoa CCM na tukaongozwa na chama kingine na kujipatia maendeleo ambayo hatukuwahi kuyaota wakati wote wa CCM, kipate kukubalika toka kwa Watanzania.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Wakipokee na kukipa nafasi ya kujipanua na mwaka 2010 kuwe na uchaguzi wenye ushindani kama tuliokuwa tunaushuhudia Tarime.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Vyama vingine viendelee kusimamisha wagombea urais, ubunge na udiwani kwa kuwa ni haki yao lakini mchuano uwe kati ya vyama viwili kama tulivyoona kule Tarime na hapo ndipo tutakuwa tunaelekea huko kwenye maendeleo.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Hayo yalikuwa baadhi tu ya maneno niliyoyasema wakati huo. Ni kama CHADEMA waliisoma makala ile kwa makini na kuielewa kwa kuwa muda mfupi baadaye walitangaza kuvunja ndoa ya upinzani na kuanza kujiimarisha kama chama peke yake chenye malengo ya kuchukua dola kwa kutumia sera zake chenyewe na kuepuka mtego wa kuungana na baadaye kuanza kupigana ni sera za chama gani kwenye ushirikiano zitekelezwe.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Wakaanzisha kile kilichojulikana kama Operesheni Sangara ambayo kwa kiwango kikubwa ilikidhoofisha sana chama tawala sanjali na vyama vingine vya upinzani.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Watanzania wakaanza kuielewa CHADEMA kama chama. Februari 11, 2009 nikaandika makala nyingine yenye kichwa cha habari, “CHADEMA na CUF wanahitaji msaada wako.”</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Katika makala ile nikaomba kura ya maoni ikiwa vyama hivyo viwili viungane ama viendelee kujijenga kila kimoja kivyake! Wengi wakasema kila chama kijijenge kivyake, sababu zilikuwa nyingi na zote niliziandika katika makala iliyofuata.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Operesheni Sangara ilikuwa kama mashambulizi ya anga vitani. Mashambulizi ambayo siyo siri kwamba yamevidhoofisha mno vyama vikubwa kama CCM na CUF.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ushahidi wa hili ni matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ambapo CHADEMA ilipaa kutoka majimbo mtano ya ubunge iliyoyapata 2005 mpaka 23 mwaka 2010.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Wabunge viti maalumu kutoka 6 mpaka 25. Halmashauri za wilaya zinazoongozwa na CHADEMA kutoka vitatu mpaka saba.</span></span><br /><span style="color: black;"><span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-family: georgia;">Kura za urais kutoka laki sita mpaka mpaka milioni 2 na ushee, madiwani idadi ikaongezeka zaidi ya mara tano.</span></span></span><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Kuimarika huku kwa CHADEMA hakuwezi kutokea bila kuviathiri baadhi ya vyama.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">CCM kwa mfano majimbo yote ya CHADEMA yaliyoongezeka yalitoka mikononi mwa CCM, halmashauri zote zilizoongezeka kuongozwa na CHADEMA zilitoka mikononi mwa CCM, kura za urais zilipoongezeka zilipungua za CCM na CUF, kambi rasmi ya upinzani bungeni sasa ikapokwa mikononi mwa CUF ambayo imeiongoza kambi hiyo tokea mwaka 1995 na uongozi wa kambi sasa ukachukuliwa na CHADEMA.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ruzuku ya CCM sanjali na ya CUF zinapungua wakati ya CHADEMA ikiongezeka kutoka milioni 60 kwa mwezi hadi milioni 230 kwa mwezi. Watanzania wakazidi kuipenda CHADEMA na wito wangu katika makala ile wa kuwataka Watanzania wakikumbatie hiki chama kama chao na kukiimarisha tayari kwa kukifanya chama mbadala wa kilichoko madarakani ukaonyesha kupokelewa na kutekelezwa barabara. <br /><br />Safari ya CHADEMA kuelekea Ikulu ikaanza rasmi.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ulipotokea uchaguzi mdogo Arumeru Magharibi, CHADEMA iliingia kwenye uchaguzi huo na kumbukumbu ya kipigo (hata kama kilikuwa cha haramu kama ilivyothibitishwa na mahakama hivi karibuni). Nikiwa mmoja wa viongozi wa chama tena nikiwa ndiye mwenyekiti wa mkoa wa Arusha ambamo ndimo kulikuwa na uchaguzi huo mdogo wa Arumeru, ilibidi kukaa na kufanya maamuzi.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Jambo la kwanza tulinuia hakuna kushindwa Arumeru kwa kuwa mtanange ilikuwa umekuja nyumbani ingelikuwa ni aibu kushindwa tena hata kama ushindi wa CCM ungelikuwa wa magumashi kama ambavyo imefanya siku zote.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Tukamuacha katibu mkuu wa chama akiwa na makamanda wengine katika kuhakikisha kampeni zinaanza na mikakati mingine ya kawaida ya kampeni zetu inaendelea.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Uongozi wa mkoa ukaungana na Mwenyekiti Taifa, Mkurugenzi wa Raslimali Taifa na Mkurugenzi wa Fedha Taifa, tukakaa pamoja kuandaa mkakati wa pekee wa ushindi ikiwa ni pamoja na kupata fedha na raslimali zingine kwa ajili kuendesha kampeni.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ni katika kukaa wakati huo ndipo tulipokuja na wazo la M4C ama “Movement for Change” ama “Vuguvugu la Mabadiliko” kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili. M4C ikanuia kukikabidhi chama kwa wananchi. Wazo lilelile nililolizungumza kwenye makala yangu mwaka 2008.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Wanachama wakaipokea M4C nchi nzima. Wakachanga pesa na rasilimali nyingine na kiukweli kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha wana CCM wengi wa chini kuipokea M4C na kuipa sapoti kubwa.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Katika uchaguzi wa Arumeru Mashariki wana CCM walifanya kazi ya ziada kuibeba CHADEMA. Walitupatia kura zao na za ndugu zao lakini zaidi walifichua hujuma nyingi sana zilizokuwa zinaandaliwa na CCM juu yetu. Tukapata ushindi wa kishindo!</span></span><br /><span style="color: black;"><span style="font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;"><span style="font-family: georgia;">Tukaikabidhi M4C kwa chama taifa na likawa sasa ni vuguvugu la nchi nzima. Kamati Kuu ikaamua kwa makusudi kuiboresha M4C ili itembee kwa mpangilio nchi nzima. Wakaamua kwamba sasa M4C ya kitaifa izinduliwe Dar es Salaam ili kufuta propaganda ya kwamba CHADEMA ni chama cha kaskazini tu.</span></span></span><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Kutoka kwenye uzinduzi Dar es Salaam kwa makusudi kamati kuu ilikuwa imeelekeza M4C ielekee Mtwara na Lindi, eneo la ukanda wa Pwani ya kusini ambako CCM imekuwa ikidanganya watu kwamba CHADEMA haiwezi kwenda kwa sababu ni eneo la Waislam wengi na CHADEMA ni chama cha Wakristo.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Kazi iliyofanywa huko na M4C ya CHADEMA wanaoweza kusimulia vizuri ni kina Bernard Membe, George Mkuchika, Mathias Chikawe, Hawa Ghasia na wenzao ambao walikimbia majimboni kwenda kushuhudia. Kule CHADEMA ilifuta utawala wa CUF na CCM uliodumu miaka mingi.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ili usipate shida ya kuniamini mimi au wale wasioitakiwa mema CHADEMA, ni vizuri ukaenda mwenyewe kufuatilia na kujua CHADEMA inaendeleaje huko kwa sasa.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">M4C inafanyaje kazi. Imegawanywa katika vikosi vinne na awamu nne tofauti.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Kwanza hutangulia kikosi cha tathmini kinachokwenda kukagua hali ya chama na uongozi wa wake.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Hiki huweza kuja na majibu yanayoonyesha chama kiko katika hali gani na ni maeneo gani yanahitaji kuongezewa uzito.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Baada ya ripoti yao huja kikosi cha hamasa ambacho hufanya mashambulizi ya anga kwa njia ya mikutano ya hadhara kwa ajili ya kuhamasisha na kuingiza wanachama wapya.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Baadaye huja kikosi cha tatu ambacho kazi yake ni kusimamia uchaguzi tangu ngazi ya matawi mpaka kata.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Na mwisho huja kikosi cha mwisho ambacho hutoa mafunzo kwa viongozi waliochaguliwa kuwafanya wakijue chama waijue katiba ya chama, kanuni za uendeshaji chama, taratibu na maadili ya viongozi na wanachama ili waweze kuongoza vizuri chama kwa mujibu wa katiba, kanuni na maadili chama. Na vikosi hivyo vinapoondoka, vinaacha viongozi wa matawi na kata wakishuka kuweka kusimika viongozi wa misingi na mabalozi wa nyumba kumi wa CHADEMA. Wapi CCM itaponea? Wapi CUF itatokea? Hapo ndipo CCM ilipokiona kifo chake na CUF ikaanza kunusa kuzidi kudumaa kwake.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Unapomsikia leo Mwenyekiti wa CCM taifa anajiwahi wahi kusema CCM haifi kabla hajaulizwa, ni kile kile alichokisema Ansbert Ngurumo Jumapili iliyopita kwamba ni kama mlevi ambaye amelewa chakali na anatembea barabarani kwa kuyumba yumba na kuanguka hovyo, anapopishana na watu anaona wakimshangaa anaanza kupaza sauti: “Nani kasema mimi nimelewa? Sijalewa mimi!”</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Kikwete kasoma nyuso za Watanzania na alipofika ukumbini akasoma nyuso za wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama chake, kama mlevi akaona wajumbe wakishangaa jinsi alivyochoka na chama kinamfia mikononi mwake. Kama yule mlevi akaanza kupaza sauti: “Kina nani wanasema CCM inakufa? CCM haifi bali wanaoiombea kifo watakufa wao na kuiacha imara!”</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Naam, kupitia M4C CCM inakiona kifo chake kinavyokuja kwa hakika tena chafanya haraka. CUF nao wanaziona dalili za kunyauka kwani watabaki na mzizi mmoja tu ule wa Pemba ambao kwa kibaiolojia hauwezi kupitisha maji na madini ya chumvichumvi ya kuulisha mti mkubwa wa nchi nzima uitwao Chama cha Wananchi (CUF).</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ndiyo maana M4C ilipohamia Morogoro, Iringa, Dodoma, Singida na Manyara, ilibidi CCM na serikali yake watumie nguvu za dola kuizima na kuifanya isiendelee ili wenyewe wabaki madarakani.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Lakini niliwahi kusema huko nyuma baadhi ya watu wakanishambulia. Kwamba CHADEMA kina mkono wa Mungu maana hata yeye amechoka kuona watanzania wakiteseka hivi, ameleta mkombozi. Mbinu ya kutumia dola imeshindwa baada ya kifo cha Mwangosi. Sasa wamebuni kitu kipya. CCM wanaungana na CUF kuikabili M4C ya CHADEMA.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ni bahati mbaya kwamba katika mkakati wao wameamua kuanzia Arusha. Walidhani kwa kuwa Arusha ni ngome ya CHADEMA na vijana wa Arusha hawana mchezo linapokuja suala la kutetea chama chao, wakadhani watawachokoza halafu CHADEMA watajibu kwa kuwafanyia vurugu na kisha serikali ya CCM iseme, “Mikutano ya kisiasa kwa sasa imekuwa chanzo cha uvunjivu wa amani.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">“Kwa hiyo serikali imesitisha mikutano ya vyama vyote mpaka hapo hali itakapotulia.”</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Itatulia lini, anajua waziri wa mambo ya ndani na jeshi lake la polisi na usalama wa taifa. Kwa kufanya hivyo watakuwa wamezuia M4C isiendelee. Ndugu yangu Mtatiro, wewe ni rafiki yangu sana. Nimeandika makala kadhaa kukutetea ulipokuwa unashughulikiwa pale Mlimani kwa sababu za kisiasa. Lakini katika hili sitakubaliana nawe niko tayari uniseme utakavyosema.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Ili kuonyesha kwamba ni mkakati, Mtatiro ulikuwa Dar es Salaam wakati ‘advance team’ yenu ilipokuja Arusha kuhamasisha ujio wa Ibrahim Lipumba, mheshimiwa mwenyekiti wenu taifa. Walifanya mikutano michache, mimi nilishuhudia mmoja tu pale Mbauda Sokoni ambapo walihutubia mkutano uliohudhuriwa na wananchi 11. Walikuwa wakihutubia kwa amani tele. Shida ilikuja pale walipokuta wamachinga wakiwa katika harakati za kujitwalia kwa nguvu kiwanja cha wazi kilichouzwa kifisadi kwa mtu binafsi.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Uuzaji ambao ulisababisha meya wa Arusha wakati huo ajiuzulu. Walikuwa wameziba barabara iendayo Kilombero sokoni. Gari la matangazo la CUF likaja.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Wakawaomba wageuze na kutumia barabara nyingine. Hawakutaka wakawa wanalazimisha kupita pale wakiimba nyimbo za CUF na kuwaonyesha ishara za chama chao.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Wamachinga wachache wakaamua kuwaonyesha alama ya CHADEMA pengine kuwaonyesha kwamba sisi wengine ni wanachama wa CHADEMA kwa hiyo hatuna haja ya kuonyeshwa alama za CUF.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Mtu mmoja aliyekuwa kwenye gari la matangazo la CUF akaamua kuwaonyesha wamachinga wale alama ya vidole vya kuonyesha matusi. Hapo ndipo wamachinga walipokasirika na kuwarushia mawe. Kumbe ni mtego uliopangwa, saa hiyo hiyo Mtatiro akarusha kwenye mitandao kwamba Wanachadema wamewashambulia wana CUF.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Baadaye wameleta Coaster zaidi ya nane kuja kuhudhuria mkutano wao wa Lipumba. Wakiwa njiani huko walipoulizwa na watu ambao hawakujua kama ni CHADEMA wakawa wanasema wanakwenda Arusha kulipiza kisasi cha watu wao kupigwa na CHADEMA. Wamekuja, Lipumba kahutubia hao watu wake aliowatoa Dar es Salaam na wana Arusha wasiozidi 100.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Kahutubia kwa amani kaondoka na hakuna badiliko lolote! Magazeti ya kesho yake hayakupata hata kuiweka habari yao ukurasa wa mbele isipokuwa yale ya wabia wao CCM ambayo yalidiriki kusema eti diwani wa CHADEMA ahamia CUF wakati wakijua huyo mtu alifukuzwa uanachama na CHADEMA na kupoteza hata udiwani. Anakuwaje diwani wa CHADEMA? Kwa hiyo V4C ilijifia kabla hata haijaanza kama walivyotabiri waandishi wenzangu.</span></span><br /><span style="font-family: georgia;"><br /><span style="color: black; font-family: "Helvetica Neue", Arial, Helvetica, sans-serif;">Na mkakati wa pamoja kati ya CCM na CUF nao umefeli kabla ya majaribio jijini Arusha. Labda niwashauri wakaanzie huo mkakati Pemba</span></span></span><span style="font-family: Arial;"><span style="font-family: Arial;"></span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Arial;"><span style="font-family: Arial;"></span></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Arial;"><span style="font-family: Arial;">K</span></span><span style="font-family: Arial;"><span style="font-family: Arial;">wa habari zaidi na maoni ya watu mbalimbali tembelea:</span><a href="http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/332817-ccm-na-cuf-wanaungana-kuikabili-m4c.html">http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/332817-ccm-na-cuf-wanaungana-kuikabili-m4c.html</a></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-89496644273452572062012-10-04T04:32:00.000-07:002012-10-04T04:33:04.674-07:00Zitto apeleka hoja bungeni kutaka uchunguzi walioficha mabilioni nje<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2I3z1M7DPj4WfBOaZQ7y1Ff8Z2gpjFQQ0IwM8bePj-re0EyHsnX2vgU1XeLqYTZ0jPGqJj-GshVDOu4RPgYdiy5FUAqyXDYSJcMB0gBJZ5JMV0nmQud3KoBbC2K_asV2Ch8Z3BaJwRA/s1600/A4Dp0rFCcAAV4WS_jpg+large.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi2I3z1M7DPj4WfBOaZQ7y1Ff8Z2gpjFQQ0IwM8bePj-re0EyHsnX2vgU1XeLqYTZ0jPGqJj-GshVDOu4RPgYdiy5FUAqyXDYSJcMB0gBJZ5JMV0nmQud3KoBbC2K_asV2Ch8Z3BaJwRA/s320/A4Dp0rFCcAAV4WS_jpg+large.jpg" width="320" /></a></div>
<div class="p1" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">MBUNGE wa Kigoma Kaskazini,
Zitto Kabwe ameiandikia barua Ofisi ya Bunge kuitaarifu nia yake ya kuwasilisha
hoja binafsi katika Mkutano wa 11 wa Bunge kuliomba liazimie Serikali iwasiliane
na taasisi za kimataifa, hasa benki kusaidia kurejeshwa nchini fedha zote haramu
ambazo zimefichwa na Watanzania katika benki za nchini Switzerland na kwingineko
duniani.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Taarifa zilizopatikana jana
kutoka Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni zimeeleza kuwa Zitto anaomba Serikali
ifanye hivyo kwa Benki ya Dunia kupitia taasisi yake ya Stolen Asset Recovery
Initiative, kutekeleza jukumu hilo.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Taarifa hizo zimeeleza kuwa
katika barua hiyo Zitto anatumia kifungu cha kanuni za bunge namba 55 (1) na
(2), na hoja yake itaainisha fedha ambazo Benki ya Taifa ya Switzerland
ilitangaza kwamba Watanzania wamezihifadhi, ambazo ni Sh297
bilioni.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Barua hiyo imeainisha kuwa
fedha hizo ni sawa na Dola za Marekani 186 milioni na Zitto amebainisha kuwa
hoja yake hiyo itaainisha namna na njia ambazo zilitumika kutorosha fedha hizo
kwenda katika benki hiyo na nyingine za nje.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Katibu wa Bunge, Dk Thomas
Kashillilah alikataa kuthibitisha kupokea barua hiyo badala yake alieleza kuwa
hilo ni suala la kiofisi.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">"Ni suala la ndani la
ofisi, siwezi kueleza kama ni kweli nimepokea au la, isipokuwa suala hilo
linafahamika na ofisi ya Bunge ililipokea alipoliwasilisha bungeni hivyo
linafanyiwa kazi," alisema Kashillilah.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Mapema mwaka huu, baadhi ya
vyombo vya habari likiwamo gazeti hili, vilifichua kuwapo kwa fedha zilizofichwa
nchini Uswisi na baadaye ilibainika kwamba fedha hizo ni mali ya Watanzania 27
wakiwamo wanasiasa na wafanyabiashara.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Gazeti hili pia lilibaini
kwamba mmoja wa walioficha fedha hizo anamiliki Dola za Marekani milioni 56
(sawa na Sh89.6 bilioni).</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Katika uchunguzi wake,
Mwananchi limebaini pia kuwa kiasi cha fedha kilichothibitishwa kumilikiwa na
Watanzania hao ni jumla ya Dola za Marekani 186 milioni (takriban Sh300 bilioni)
kwa viwango vya sasa vya kubadilishia fedha ambavyo ni Sh1600 kwa Dola ya
Marekani.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Taarifa hizo zinaeleza kuwa
mbali na kigogo anayemiliki Sh90 bilioni, wapo wengine wanne, ambapo anayefuatia
anamiliki Dola 30 milioni (Sh48 bilioni), mwingine Dola 20 milioni (Sh32
bilioni) na wengine wawili kila mmoja anamiliki Dola 10 milioni (Sh16
bilioni).</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Kwa kuangalia fedha hizo ni
dhahiri kwamba vigogo watano tu kati ya kundi la Watanzania 27, wanamiliki Dola
126 milioni (Sh201.6 bilioni) sawa na asilimia 67.74 ya fedha hizo, wakati
wengine 22 waliobaki wanamiliki Dola 60 milioni (Sh96 bilioni) sawa na asilimia
32.25.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Habari hizo zilikuwa
zikinukuu taarifa ya Benki Kuu ya Uswisi iliyoitoa na kuonyesha kuwapo kwa kiasi
cha Sh315.5 bilioni zilizotoroshwa Tanzania na kufichwa nchini humo na vigogo
ambao ni wanasiasa pamoja na wafanyabiashara.</span></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span></div>
<div class="p2" style="background-color: white; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><b><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Mwananchi</span></b></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-56875590336523185262012-10-03T05:04:00.002-07:002012-10-03T05:04:20.251-07:00Vigogo CCM ‘wahamia’ Marekani <div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="subheadline2" style="text-align: center;">
<strong>• Ni JK, Mkapa, Kinana, Membe na Nape</strong></div>
<div class="subheadline2" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
VIGOGO watano wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wako nchini Marekani, Tanzania
Daima Jumatano limebaini.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Uwepo wa vigogo hao Marekani kwa wakati mmoja, umeibua gumzo nchini hususan
kwa mitandao ya makada wa chama hicho wanaotajwa kutaka kuwania urais mwaka
2015.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Vigogo hao ni pamoja na Rais Jakaya Kikwete, Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, na
mjumbe wa Kamati Kuu (CC) na Halmashauri Kuu (NEC), Abdulhaman Kinana, ambaye
amepata kuwa kampeni meneja wa marais hao wawili.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Mwingine ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe,
ambaye amekuwa akitajwa kuwa mmoja wa makada watakaowania urais mwaka 2015.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Wakati vigogo hao wako nchini Marekani, kigogo mwingine wa CCM, Nape Nnauye,
ambaye ni Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, anatarajia kwenda nchini
Marekani kesho.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Ingawa vigogo hao wako Marekani kwa shughuli na sababu tofauti, mahasimu wa
Waziri Membe kisiasa wamehusisha ziara hiyo ya wazito hao na harakati za urais
2015.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Rais Kikwete yuko nchini Marekani kwa ziara ya kikazi. Rais na ujumbe wake
uliondoka nchini juzi na atakuwa hapo kwa siku mbili kabla ya kuelekea nchini
Canada kwa ziara nyingine rasmi ya kiserikali.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Habari zinasema kuwa Mkapa na Kinana waliondoka nchini wakati vikao vya
mchujo vya CCM vikiendelea mjini Dodoma na wako nchini humo kwa ajili ya
shughuli za taasisi ya Mkapa Foundation na Nape anatarajia kwenda kwa shughuli
zake binafsi.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Hadi sasa hakuna kada yeyote wa CCM aliyetangaza kuwania urais, lakini mbali
ya Membe, duru za kisiasa zinawataja makada wengine wanaotaka urais kuwa ni
pamoja na mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye na Edward Lowassa.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Hata hivyo, kasi ya Sumaye kuwania nafasi hiyo imepunguzwa na matokeo ya
uchaguzi wa NEC, wilayani Hanang’ ambapo aliangushwa na Dk. Mary Nagu.</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
Wengine ni Samuel Sitta, Dk. Abdallah Kigoda, Dk. Emmanuel Nchimbi, Dk. Asha
Rose Migiro na wengine.</div>
<div class="text1" style="text-align: center;">
KWA HABARI KAMILI TEMBELEA: </div>
<div class="text1" style="text-align: center;">
<a href="http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=41146">http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=41146</a></div>
<div class="text1" style="text-align: justify;">
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-74226035294620666222012-10-03T05:01:00.000-07:002012-10-03T05:01:15.633-07:00Kingunge nusura amng’oe Kikwete<div style="text-align: justify;">
MWENYEKITI wa Chama cha Mapunduzi, Rais Jakaya Kikwete, na sekretarieti yake
wameponea tundu la sindano kung’oka baada ya mkongwe wa siasa nchini, Kingunge
Ngombale Mwiru, kutangaza mgogoro wa katiba ya chama hicho ambao ungehatarisha
nafasi yake.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Kingunge ambaye ameshika nafasi mbalimbali za uongozi nje na ndani ya chama,
aliwasilisha hoja hiyo ya mgogoro wa katiba wiki iliyopita wakati wa kikao cha
Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), iliyokuwa na ajenda ya kufanya uteuzi wa majina ya
wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya CCM.</div>
<div style="text-align: justify;">
<a name='more'></a><br />
<div style="text-align: justify;">
Habari kutoka ndani ya NEC, zilizema kuwa mara baada ya Rais Kikwete kufungua
mkutano huo, Kingunge alinyoosha mkono akitaka kuwasilisha taarifa.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Kabla ya kuruhusiwa, Rais Kikwete alimtaka mkongwe huo kuvuta subira ili atoe
taarifa za vurugu za wakulima na wafugaji Loliondo na baada ya kumaliza kutoa
taarifa hiyo kwa NEC, alimruhusu Kingunge kuzungumza.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Alipopata nafasi, Kingunge alianza: “Mheshimiwa Mwenyekiti, samahani sana,
nimesimama hapa kutangaza mgogoro wa Katiba.”</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Aliendelea: “Tukijiridhisha kwamba katiba imevunjwa, lazima tujadiliane na
tuchukue hatua kwa faida ya chama. Hivi sasa chama kiko kwenye harakati za
uchaguzi ndani ya chama baada ya katiba ya chama chetu kufanyiwa
marekebisho.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Bahati mbaya sana marekebisho hayo yamefanywa na Kamati Kuu na Halmashauri
Kuu bila kupata baraka za Mkutano Mkuu kama katiba inavyotaka.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Katiba yetu inasema marekebisho yoyote ya chama lazima yapate baraka za
Mkutano Mkuu isipokuwa tu kama kuna dharula, lakini kwa bahati mbaya mabadiliko
yaliyofanywa hayana baraka za Mkutano Mkuu na hili sio jambo la dharula.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Kwa maana hiyo mchakato mzima wa uchaguzi unaoendelea ni batili, hivyo
mchakato huo uvutwe na kuanza upya hadi hapo Mkutano Mkuu utakapopitisha
marekebisho ya katiba,”</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Alisisitiza: “Huo ni ukiukwaji mkubwa wa katiba uliofanywa na viongozi wa
chama na ikithibika wamevunja katiba, wawajibishwe.”</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Wakati Kingunge akitoa hoja hiyo ya kutaka mchakato mzima kuanzia ngazi ya
tawi hadi taifa ufutwe kwa madai ya kukiuka katiba, baadhi ya wajumbe walikuwa
wakishangilia kumuunga mkono.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Habari kutoka ndani ya kikao hicho zilieleza kuwa mara baada ya kuwasilisha
hoja hiyo, wajumbe na meza kuu walizizima na baadaye Makamu Mwenyekiti wa CCM,
Pius Msekwa, alisimama kujibu hoja hiyo.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Msekwa alianza kwa kusema kuwa yeye ndiye aliyeongoza kamati iliyosimamia
marekebisho ya katika ya CCM ya mwaka 1977 na anajua vizuri kipengele
alichotumia Kingunge kutangaza mgogoro wa katiba.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Msekwa alikisoma kifungu hicho ambacho kinasema: “Kusimamisha kwa maslahi ya
CCM utumiaji wa kifungu chochote cha Katiba ya kuingizwa ndani ya Katiba, Uamuzi
huo sharti uungwe mkono na theluthi mbili ya wajumbe kutoka Tanzania Bara na
Theluthi mbili ya wajumbe kutoka Zanzibar. Hata hivyo Halmashauri Kuu ya CCM
taifa, itafikisha uamuzi wake mbele ya Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa kwa uamuzi
wa mwisho.”</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Baada ya kusoma kifungo hicho, Msekwa alisema mabadiliko hayo ya katiba
yalizingatia kifungu hicho na baadaye wajumbe wa pande mbili za muungano
walipiga kura kuafiki mabadiliko hayo.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Kwa mujibu wa Msekwa, NEC sasa inawajibika kutoa taarifa mbele ya Mkutano
Mkuu kuhusu mabadiliko hayo, hivyo hakuna katiba iliyovunjwa.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Ikumbukwe kuwa wakati wajumbe walipopiga kura kuridhia mabadiliko hayo,
Kingunge alipiga kura ya hapana, kupinga mabadiliko hayo.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Duru za kisiasa ndani ya NEC, zilisema kuwa baadhi ya wajumbe walihoji sababu
ya Kingunge kutaka kumng’oa Kikwete na serektari yake wakati ana uwezo wakati
wowote kumwona mwenyekiti wa chama na kujadiliana naye kama kuna makosa.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Bahati nzuri sana wajumbe wengine hawakusimama kuunga mkono, lakini jambo
lenyewe lilikuwa baya, fikiria kama tungefuta mchato mzima na kuvunja
sekretarieti maana yake CCM ingefia hapo,” alisema mmoja wa wajumbe wa NEC.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Baadhi ya madiliko yaliyofanywa katika katiba ya CCM ni pamoja na kuwaondoa
wazee wastaafu (marais) katika vikao vya NEC na kuwapa nafasi ya kuunda baraza
lao.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Mabadiliko hayo pia yameruhusu wana CCM kugombea NEC kupitia wilayani kwao
ili kukisogeza chama mikononi mwa wananchi.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
KUTOKA TANZANIA DAIMA</div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-45161932898088069482012-10-03T04:47:00.003-07:002012-10-03T05:06:17.122-07:00CCM KWA WAKA MOTO <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0YwnNjUhbnVgVkpzJiAnVofkV5kLRqXOmmMsN7vlqip-oSPpWo0w7qAQ-_S18qt3N80qOjsmB54vqvTDn8QYADoFxq7Xr-UYpmAQzEHnlBgQmFt0Hx0B-ic_ai_ZRZlVZwMgix7DmIQ/s1600/tz+daima" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh0YwnNjUhbnVgVkpzJiAnVofkV5kLRqXOmmMsN7vlqip-oSPpWo0w7qAQ-_S18qt3N80qOjsmB54vqvTDn8QYADoFxq7Xr-UYpmAQzEHnlBgQmFt0Hx0B-ic_ai_ZRZlVZwMgix7DmIQ/s320/tz+daima" width="240" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><span class="headline2"><strong>Sumaye amtangazia vita Lowassa</strong> </span>
</span></div>
<div class="subheadline2" style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;">• Mwenyewe asema wananchi wa Monduli ndiyo msuli wake</span> </div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
<a name='more'></a><br />
<div style="text-align: justify;">
SIKU chache baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Fredereck Sumaye, kubwagwa kwenye
kinyang’anyiro cha ujumbe wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM kupitia wilaya ya
Hanang’ mkoani Arusha mwanasiasa huyo sasa ametangaza vita na Waziri Mkuu
mwenzake mstaafu, Edward Lowassa.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Sumaye ambaye hajatangaza rasmi kuwania kiti hicho, anatarajiwa kupasua jibu
wakati wowote kuanzia leo kueleza kilichotokea; msimamo wake na kwamba yuko
tayari kuwania urais mwaka 2015 endapo Lowassa atawania kiti hicho.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Sumaye aliangushwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na
Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu, katika kuwania nafasi ya ujumbe wa NEC wilaya ya
Hanang, matokeo ambayo anaamini yana mkono wa Lowassa.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Chanzo cha karibu na Sumaye, kilisema kuwa pamoja na Waziri Mkuu huyo mstaafu
kushindwa na Dk. Nagu kwa zaidi ya kura 167, amepokea matokeo hayo kwa shingo
upande kwa kile alichoeleza kuwa ushindi huo ni wa mafisadi.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Hataki kuzungumza chochote leo ila atazungumza nanyi wakati wowote kuanzia
leo, lakini anasema ikiwa Lowassa atawania urais, Sumaye ataingia katika
mpambano huo kukabiliana naye kwa njia yoyote. Hataki kusema ataingia kwa CCM au
chama gani au mgombea binafsi,” anaeleza mtu wa karibu na Sumaye.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Vyanzo vilivyo karibu na mwanasiasa huyo vimeeleza kuwa tayari Sumaye
amefanya mazungumzo na baadhi ya wanasiasa wenye ushawishi wanaojipambanua kama
wapiganaji wa ufisadi ili kuunganisha nguvu kwa ajili ya kukabiliana na kambi ya
Lowassa.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Mbali ya kundi la Sumaye na wanasiasa wengine kuanza mkakati huo, wapo pia
wanasiasa wengine wenye majina makubwa ndani ya chama, serikali na wastaafu
wanaotajwa kuingia kwenye muungano huo.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Akijibu tuhuma hizo kwa kifupi, Lowassa alisema endapo Sumaye ataitisha
mkutano na waandishi wa habari na kutoa tuhuma hizo, nitajibu.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Hata hivyo, baadhi ya wafuasi wa Sumaye na watendaji wa ndani ya serikali
wamesema kuanguka kwa mwanasiasa huyo mkongwe katika uchaguzi wa wilaya
kunamuweka vizuri zaidi kisiasa kutokana na mazingira tete ya kisiasa ndani ya
CCM, chama ambacho kimechokwa na umma.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Waziri wa zamani wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) na mbunge wa zamani wa
jimbo la Makete, Dk. Hassy Kitine, alikaririwa juzi akisema kuwa kuangushwa kwa
Sumaye katika nafasi ya NEC hakuwezi kumuathiri kisiasa kama atachukua uamuzi wa
kuwania urais mwaka 2015 kupitia CCM.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Dk. Kitine alitoa kauli hiyo alipoombwa na gazeti moja kutoa maoni yake juu
ya matokeo ya NEC wilayani Hanang’ kama yana athari kwa mustakabali wa kisiasa
kwa kiongozi huyo.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Katiba ya CCM haina kipengele kinachosema kama unataka kuwania urais ni
lazima uwe mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM , kwa hiyo nasema kama kweli Sumaye
anatafuta urais bado ana nafasi ya kuwania nafasi hiyo,” alikaririwa akisema Dk.
Kitine.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, naye alimtia moyo
Sumaye kwa kuweka bayana kuwa uchaguzi wa NEC ni wa ngazi ya wilaya tu kwa hiyo
Sumaye anaweza kuwa anakubalika kitaifa kuliko katika wilaya anayotoka huku
akitumia usemi kwamba ‘nabii hakubaliki kwao’.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Katika hatua nyingine, hali inaelezwa kuwa tete ndani ya CCM baada ya kuwapo
kwa taarifa za ushangiliaji kutoka kwa wafuasi na viongozi wa Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao wameona wanazidi kusafishiwa njia.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“CHADEMA wameshangilia sana kwa kuwa sasa jimbo hilo litachukuliwa kirahisi.
Walikuwa wanamuogopa Sumaye na kumheshimu hivyo kwa sasa watu wake wote
wanahamia CHADEMA.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Wanasema mafisadi walihakikisha wanampa kila mjumbe kiwango cha chini kabisa
cha shilingi 100,000 kumuangusha Sumaye. Uongozi wote wa CCM wa wilaya na hata
baadhi kwenye mkoa walijipanga kumuangusha,” anasema.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Katika uchaguzi huo wa Hanang, hali ilianza kuwa tete toka hatua za awali,
ambapo Dk. Nagu alitajwa kushinikiza kubadilishwa kwa muhtasari wa kikao cha
wilaya kilichokata jina lake na hivyo kurudishwa tena.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Taarifa kutoka Hanang zinaeleza kwamba Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU), ilifanya kazi katika mazingira ya aibu kutokana na kuonekana
kufumbia macho vitendo vya rushwa iliyogawiwa waziwazi.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Hivi karibuni Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Dk. Edward Hoseah, alinukuliwa
akisema kwamba taasisi yake inafuatilia kwa karibu uchaguzi huo ndani ya CCM ili
kubaini watu wanaotumia rushwa, kauli ambayo imeelezwa kuwa ya kisiasa
zaidi.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Dk. Hoseah alitoa kauli hiyo akijibu hoja mbalimbali za washiriki wa
kongamano la kujadili utekelezaji wa awamu ya pili ya mpango wa kupambana na
rushwa nchini na mapendekezo yanayopaswa kuzingatiwa katika utekelezaji wa
mpango wa awamu ya tatu (2012 – 2016).</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Uchaguzi huo ulifanyika siku chache baada ya CCM kupitisha majina ya
walioomba nafasi hizo huku wanachama wengi wakienguliwa kutokana na kukosa sifa
katika kikao kilichomalizika mjini Dodoma mapema wiki hii.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Katika hatua nyingine, Lowassa ametamba kuwa wananchi wa Monduli ndiyo msuli
wake wa kisiasa.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Akizungumza baada ya ushindi wa NEC alioupata, Lowassa alisema ushindi huo
mkubwa umedhihirisha kuwa ana misuli ya kisiasa kwa wananchi wake.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Kuna mzee rafiki yangu aliniambia kuwa katika kazi za siasa angalia ‘grass
roots’, watu wanakuwa ndiyo msuli wako kisiasa, na mimi watu wa Monduli ndiyo
msuli wangu,” alisema Lowassa ambaye anatajwa kuwa mmoja wa watu watakaowania
urais mwaka 2015.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
“Wananchi wa Monduli mmenithibitishia hilo na nawashukuru sana kutoka kwenye
sakafu ya moyo wangu, jibu la thibitisho hilo kwangu ni utumishi uliotukuka
kwenu,” aliongeza.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Lowassa alipata asilimia 93 ya kura dhidi ya wapinzani wake, Dk. Sulesh Toure
aliyetangaza kujitoa baada ya kuona upepo mbaya kwake na Nanai Konina</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Na Martin Malera TANZANIA DAIMA<br />
<a href="http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=41145">http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=41145</a></div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
</div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-31209783485026017132012-10-03T04:40:00.002-07:002012-10-03T05:05:33.053-07:00CCM KWA WAKA MOTO<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiox3cHuRHefoKp-5O_FtAhd-SWlDoovOqV5H5_9fGV6i81udkbJ0LabZZdrt-tOnNn4T88spxSMd1g12C7WUZsdE-qDImcl0RyalKBJUu1akvtRMj4Mbv9WoB2fOD1VL3xk_hIosPTrg/s1600/mwananchi" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiox3cHuRHefoKp-5O_FtAhd-SWlDoovOqV5H5_9fGV6i81udkbJ0LabZZdrt-tOnNn4T88spxSMd1g12C7WUZsdE-qDImcl0RyalKBJUu1akvtRMj4Mbv9WoB2fOD1VL3xk_hIosPTrg/s320/mwananchi" width="245" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><strong></strong></span> </div>
<div style="text-align: center;">
<span style="font-size: large;"><strong>Lowassa awatimulia vumbi Sitta, Membe</strong></span> </div>
<div style="text-align: center;">
<strong></strong> </div>
<div style="text-align: center;">
<strong>APANGA MAJESHI YA URAIS 2015, ASEMA MONDULI NDIYO MSULI WAKE WA KISIASA</strong></div>
<strong></strong><br />
<strong><div style="text-align: justify;">
<a name='more'></a><br /></div>
</strong>Waandishi Wetu<br />
KAMBI zinazosigana ndani ya CCM zinaonekana kuchuana vikali katika uchaguzi wa ngazi ya wilaya ya chama hicho tawala, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015, huku Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akionekana kupata mafanikio, ikilinganishwa na mahasimu wake, Benard Membe na Samuel Sitta.<br />
<br />
Kama ilivyo kwa Lowassa, Sitta ambaye ni Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Membe ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, wamekuwa wakitajwa kuwa kwenye harakati za kuusaka urais, hivyo uchaguzi wa ndani wa CCM ni fursa ya kupanga safu za kufanikisha mikakati hiyo.<br />
<br />
Lowassa binafsi tayari amepita katika kinyang’anyiro hicho kwa kuchaguliwa kwa kishindo kuwa mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kupitia Wilaya ya Monduli. <br />
<div style="text-align: justify;">
Jana mbunge huyo wa Monduli alitoa kauli kali akisema kuwa wapo watu wanaovuruga CCM katika Wilaya ya Monduli na kwamba tayari amewabaini, hivyo kuahidi kwamba watashughulikiwa kisiasa.<br />
<br />
''Yako maneno ya ovyoovyo yamekuwa yakipikwa ya kuwaandama viongozi wa CCM Monduli, yanasemwa na wakubwa fulani, yanapikwa na watu fulani wa Monduli, tunawajua. Nataka kuwaambia tumewajua na nawaambia hawatuwezi,'' alitamba Lowassa.<br />
<br />
Lowassa alisema ushindi alioupata umedhihirisha kuwa ana misuli ya kisiasa na kwamba wakazi wa Monduli ndiyo msuli huo.<br />
<br />
''Kuna mzee rafiki yangu aliniambia kuwa katika kazi za siasa angalia ‘grassroots’. Watu wanakuwa ndiyo msuli wako kisiasa na mimi watu wa Monduli ndiyo msuli wangu,'' alisema.<br />
<br />
Aliendelea ''Wananchi wa Monduli mmenithibitishia hilo na nawashukuru sana kutoka kwenye ‘sakafu’ ya moyo wangu, jibu la thibitisho hilo kwangu ni utumishi uliotukuka.''<br />
<br />
Kwa upande wake, Membe anasubiri kuparurana na vigogo wenzake katika kundi la kifo la ujumbe huo katika uchaguzi wa ngazi ya Taifa, wakati Sitta tayari ni mjumbe wa NEC akiwakilisha wabunge wa CCM katika chombo hicho kikubwa cha uamuzi ndani ya chama hicho.<br />
<br />
Matokeo katika maeneo kulikomalizika uchaguzi wa ngazi ya wilaya yanaonyesha kuwa Lowassa amefanikiwa kupanga safu yake vizuri zaidi, ikilinganishwa na wenzake hao.<br />
<br />
Membe anaonekana kufuata kwa karibu na Sitta ni kama anashika mkia kwa kuwa na wafuasi wachache waliofanikiwa kuchaguliwa. Hata hivyo, chaguzi katika baadhi ya mikoa bado zinaendelea, huku uchaguzi wa ngazi za mikoa na taifa ukisubiriwa kwa hamu.<br />
<br />
Manyara na Arusha<br />
Kundi la Lowassa lilizidi kupata nguvu baada ya mfuasi wake mpya ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji na Uwekezaji), Dk Mary Nagu kumbwaga Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye.<br />
<br />
Sumaye naye anatajwa kuwa miongoni mwa ‘wanaoutaka’ urais na kuanguka kwake katika uchaguzi wa Hanang, kunatia doa kubwa harakati zake hizo. <br />
<br />
Katika uchaguzi uliofanyika jana kwenye Wilaya ya Arusha Mjini, Lowassa ameibuka kidedea kwa wapambe wake kadhaa kuchaguliwa, huku mwenyekiti wa zamani wa CCM wa Wilaya hiyo, Jubilate Kileo akiangushwa na Dk Wilfred Ole Soilel. <br />
<br />
Katika kinyang’anyiro cha mjumbe wa Nec, Godrey Mwalusamba alishinda na kuwaangusha vibaya wapinzani wake ambao ni Loota Laiser na Dk Harold Adamson.Kuchaguliwa kwa Dk Ole Soilel anayehusishwa na kambi la Lowassa kuliibua simanzi kwa kambi nyingine ambapo katika hali isiyo ya kawaida, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo na Katibu wa CCM Arusha, Mary Chatanda walionekana kuwa wanyonge muda wote.<br />
<br />
Mwanza na Dodoma <br />
Mkoani Mwanza, kambi za Lowassa na Membe zinatajwa kuchuana vikali huku kukiwa na sintofahamu kwamba mgombea wa nafasi ya mweyekiti wa mkoa huo, Anthony Diallo yuko upande upi.<br />
<br />
Diallo ambaye alianguka katika uchaguzi wa ubunge Oktoba 2010, anaonekana kurejea kwa nguvu mpya, kwani tayari baadhi ya wale wanaotajwa kuwa wafuasi wake wametwaa nafasi muhimu katika uchaguzi wa wilaya.<br />
<br />
Hata hivyo, kada huyo wa siku nyingi wa CCM ambaye anamaliza muda wake wa ujumbe wa NEC akiuwakilisha Mkoa wa Mwanza, anakabiliwa na kibarua kigumu Oktoba 13, mwaka huu, atakapopambana na mweyekiti anayetetea nafasi yake Clement Mabina, Zebedayo Athumani na Joseph Langula Yared.<br />
<br />
Kwa sasa kuna taarifa kwamba Diallo anamuunga mkono Membe hivyo ushindi wa wafuasi wake katika Wilaya za Nyamagana, Ukerewe, Misungwi na Sengerema unaweza kuinufaisha kambi hiyo.<br />
<br />
Mabina ambaye anatajwa kuwa mshirika wa Lowassa, katika matokeo ya awali, kambi yake inaonekana kutokufanya vizuri.<br />
<br />
Ushindi muhimu katika Wilaya ya Nyamagana ulikuwa ni wa nafasi ya Mwenyekiti iliyonyakuliwa na msadizi wa siku nyingi wa Diallo, Raphael Shilatu, ambaye aliwabwaga Mashaka Kaguna aliyetajwa kuwa mfuasi wa Lowassa na Yahya Nyaonge anayetajwa kuwa mfuasi wa Sitta.<br />
<br />
Hata hivyo, ushindi huo unatajwa kutiwa doa na mmoja wa wafuasi wa Lowassa ambaye ni mbunge wa zamani wa Nyamagana, Lawrence Masha ambaye alikuwa mjumbe wa NEC.<br />
<br />
Wilayani Ukerewe kambi ya Membe inatajwa kushinda kiti cha Uenyekiti kupitia Ally Mabile na katika Wilaya ya Busega kambi ya Sitta inatajwa kutwaa ujumbe wa NEC kupitia kwa mbunge wa zamani wa Busega, Dk Raphael Chegeni.<br />
<br />
Mkoani Dodoma matokeo ya uchaguzi wa nafasi mbalimbali yanaonyesha kwamba kambi ya Lowassa imefanya vizuri hasa katika Wilaya za Dodoma Mjini, Bahi, Kondoa, Chemba na Kongwa.<br />
<br />
Hata hivyo, ngome ya Waziri Mkuu huyo wa zamani imeangukia pua katika Wilaya ya Chamwino, baada ya wapambe wake kubwagwa na wale wanaotajwa kumuunga mkono Sitta. Katika Wilaya ya Mpwapwa viongozi waliochaguliwa ni wapya na hadi sasa haifahamiki wanaunga mkono kambi gani.<br />
<br />
Dar, Zanzibar na Moro<br />
Visiwani Zanzibar, Lowassa aliendelea kupeta kutokana na ushindi wa aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM), Hamad Yussuf Masauni, ambaye alishinda nafasi ya ujumbe wa NEC na kumbwaga aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Mahamoud Thabiti Kombo.</div>
<div style="text-align: justify;">
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo Katibu wa Wilaya ya Mjini, Fatma Juma Shomari alisema kwamba kati ya wagombea 19 waliokuwa wakiwania nafasi sita za NEC, Masauni aliibuka mshindi wa pili akitanguliwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai.</div>
<div style="text-align: justify;">
Aliyeshinda nafasi ya uenyekiti ni Juma Faki Chumu na wajumbe wengine wa NEC ni Buruhani Saadati Haji, Asha Abdalla Juma, Talib Ali Tali Sufiani Khamis Ramadhani na Omar Jastus Morris.</div>
<div style="text-align: justify;">
Hata hivyo, katika Mkoa wa Dar es Salaam, kambi ya Lowassa ilipata pigo kutokaana na kubwagwa kwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga aliyekuwa akiwania nafasi ya ujumbe wa NEC kupitia Wilaya ya Ilala.<br />
<br />
Kadhalika mkoani Morogoro, kambi hiyo pia ilipata pigo kutokana na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makala kubwagwa na Suleiman Ahmed Sadiq katika uwakilishi wa NEC Wilaya ya Mvomero. <br />
<br />
Taarifa kutoka mkoani Tabora zinasema katika wilya zote za mkoa huo, kambi ya Lowassa imeshinda kwa kishindo isipokuwa Wilaya ya Urambo ambayo kambi ya Sitta inadaiwa kuibuka kidedea.<br />
<br />
<br />
Wasomi wanena<br />
Baadhi ya wasomi nchini, wametofautiana kimtazamo kuhusu chaguzi ndani ya CCM huku wengine wakisema chama hicho kimeshindwa kuwadhibiti vigogo wanaotajwa kuwania nafasi ya urais ambao wamefanikiwa kuwaingiza wafuasi wao kwenye nafasi mbalimbali za uongozi.<br />
<br />
Mhadhiri wa Chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere, Sabun Parit alisema hatma ya chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao ni nzuri kutokana na kufanikiwa kuendesha uchaguzi wake kwa utulivu.<br />
<br />
“Mara nyingi tumezoea kuona makundi yakiibuka wakati wa uchaguzi, lakini safari hii hali ni shwari, hatujasikia makundi wala malalamiko na hii ni ishara kwamba hiki chama kimekomaa na hakiwezi kutetereka,” alisema mhadhiri huyo.<br />
<br />
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk Kitilya Mkumbo ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema alisema jana kuwa CCM imeshindwa kuwadhibiti vigogo hao ndani ya chama hicho na hivyo wameanza vizuri katika maandalizi ili kupitishwa na chama hicho kugombea kiti ya urais.<br />
<br />
“Kwa kweli CCM wamejimaliza na wameonekana kuwa hawana jipya, wale waliotaka kuwavua magamba ndiyo haohao wamepitishwa kwenye uchaguzi pamoja na wafuasi wao kuwasaidia katika Uchaguzi Mkuu,” alisema Dk Mkumbo.<br />
<br />
Naye Mhadhiri wa UDSM, Dk Benson Bana alisema CCM imeonyesha kwamba hakuna kiongozi yeyote mwenye hatimiliki ya chama hicho.<br />
<br />
“Kwa namna mambo yalivyoonyeshwa kwenye uchaguzi huo, mtu yeyote anaweza kuingia na kuondoka kwenye chama hicho,” alisema.<br />
<br />
Naye Kisena Mabuba ambaye pia ni Mhadhiri katika Chuo cha Mwalimu Nyerere alisema uchaguzi huo umefuta makundi ndani ya CCM.<br />
<br />
“Tofauti na matarajio ya wengi kuwa CCM ingemeguka, mimi ninachokiona hapa kundi lililobaki na nguvu ni lile la mwenyekiti mwenyewe. Kundi moja limefutwa kabisa na mengine yameshindwa kupata nguvu za kutosha,” alisema Mabuba.<br />
<br />
Alitaja mbinu zilizotumika kufuta makundi hayo kuwa ni hatua ya kubadili katiba na kuwaweka pembeni marais wastaafu pamoja na uteuzi wa makatibu wa chama ngazi ya mikoa na wilaya ambao walifanya makundi kupoteza nguvu.<br />
<br />
Habari hii imeandikwa na Moses Mashalla (Arusha), Habel Chidawali (Dodoma), Frederick Katulanda (Mwanza) na Joseph Zablon, Raymond Kaminyoge na George Njogopa.<br />
<br />
Kwa habari kamili tembelea:<br />
<a href="http://www.mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/26391-lowassa-awatimulia-vumbi-sitta-membe.html">http://www.mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/26391-lowassa-awatimulia-vumbi-sitta-membe.html</a></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-4660082183218054202012-10-03T04:30:00.002-07:002012-10-03T04:30:47.503-07:00Rufani Ya Lema Yatikisa Arusha <iframe allowfullscreen="allowfullscreen" frameborder="0" height="315" src="http://www.youtube.com/embed/BeaO31W7gr4" width="420"></iframe>
<br />
Video Rufaa ya Godbless Lema<br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-size: medium;"></span></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-size: medium;">Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akiwahutubia wafuasi wake baada ya Jaji MKuu wa Tanzania Mohamed Chande Othman kuahirisha kesi ya rufaa ya aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.Picha Zote na Jackson Odoyo Mussa Juma, Arusha MAWAKILI wanaomtetea aliyekuwa Mbunge wa Arusha, Godbless Lema wamedai mbele ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuwa mteja wao yuko huru kwa kuwa mahakama haikutengua ubunge wake.Katika kesi hiyo, Jaji Mkuu, Mohamed Othman Chande anawaongoza wenzake wa Mahakama ya Rufani, Salum Massati na Natalia Kimaro kusikiliza maombi ya rufani hiyo, inayopinga Lema kuvuliwa ubunge. <br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Mawakili hao wa Lema jana walitoa hoja ya kupinga hukumu hiyo kufuatia mabishano baina yao na upande wa utetezi kwa maelezo kuwa taratibu za ufunguaji wa rufaa hiyo zimekosewa. Awali wakili Alute Mughwai aliiomba mahakama hiyo kutupilia mbali rufani hiyo kwa kile alichoeleza kuwa ina upungufu mwingi wa kisheria na kikanuni. Wakili huyo alitaja baadhi ya kasoro za rufani hiyo kuwa ni hati ya kukaza hukumu (tuzo) ambayo imewasilishwa mahakamani hapo kutokuwa na mhuri wa Jaji Gabriel Rwakibarila aliyetoa hukumu ya kesi hiyo. </span></span></span></span></span><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"> <span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Alidai kuwa katika rufani hiyo pia kuna upungufu kuhusu tarehe za kuwasilishwa kwa rufani, pia baadhi ya vifungu vimekosewa.Wakili Mughwai alitoa kumbukumbu ya kesi kadhaa ambazo mahakama ya rufani ilizitupa baada ya kukosa hadhi ya kisheria kusikilizwa.</span></span></span><br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"> <span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">“Mawakili wa Lema walipaswa kabla ya kuwasilisha mahakamani rufani yao, kujiridhisha kama kuna upungufu katika nyaraka ambazo wanawasilisha mahakamani.”Alisema kubwa katika makosa ambayo amebaini katika rufani hiyo ni kuwasilishwa bila kuwekwa mhuri hati ya kukaza hukumu (tuzo) iliyotolewa na Jaji aliyetoa hukumu katika kesi ya awali.“Hapa nani ambaye anajua sahihi ya Jaji? Alihoji. Hawa mawakili walipaswa kushinikiza kuwekwa mhuri wa mahakama katika hukumu hiyo ili kuthibitisha uhalali wake,” alisema Alute. Hata hiyo, wakili huyo alisema badala yake, mawakili hao waliwasilisha mahakamani rufani hiyo ndani ya siku 29 tu baada ya hukumu, badala ya siku 60 ambazo walipewa.</span></span></span><br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"> “<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Kwa kuwasilisha mahakama ya rufani, hukumu ambayo bado haina mhuri wa Jaji ni ukiukwaji wa kanuni na taratibu za mahakama.”Mughwai alidai kuwa katika mazingira ya sasa hakuna cha kurekebishwa katika rufani hiyo, badala yake itupwe na kuwataka wakata rufani kulipa gharama zote za kesi. Hata hivyo, hoja hizo zilipingwa na mawakili wa Lema ambao ni Tundu Lissu na Method Kimomogoro, ambao walidai kuwa hawakuwa na mamlaka ya kumlazimisha Jaji Rwakibarila kuweka mhuri. </span></span></span><br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;">Lissu alidai "Kama inaonekana sasa kuwa ni batili, basi hata uamuzi wa kumvua ubunge Lema ni batili," alisema. Wakili Kimomogoro Kwa upande wake, Wakili Kimomogoro alisema kisheria kasoro hizo ya mhuri wa mahakama na tarehe, haziwezi kusababisha rufani hiyo kutupwa kwani haziathiri madai ya msingi katika rufani. </span></span><br /><br /><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Alidai kesi hiyo ya Lema ilikuwa ya kipekee kwani mara tu baada ya hukumu kutolewa faili lilipelekwa jijini Dar es Salaam na maombi ya nyaraka kadhaa za kesi hiyo yalitumwa kutoka Dar es Salaam.“Katika mazingira kama haya hatuwezi kuepuka makosa ya kibinadamu ambayo yanatambulika kisheria,” alidai Kimomogoro. Aliongeza kuwa katika hoja hiyo, waliandika kifugu namba 114 badala ya 113 kimakosa ya kiuchapaji, lakini hakipotoshi kitu chochote kwani kifungu hicho hakipo. Wakili Kimomogoro alisema wakili mwenzake, Mughwai ameshindwa kuzungumzia uamuzi ya kesi ambazo, hazikufutwa kutokana na kuwa na upungufu mdogo wa aina hiyo ambao kimsingi hauathiri rufani.</span> </span></span></span><span style="font-family: Georgia, "Times New Roman", serif;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Hata hivyo, alisema kama wakili huyo alibaini makosa hayo, katika uwasilishaji wa hoja zake, alipaswa pia kurekebisha kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2009 ya mahakama. Kimomogoro pia aliwasilisha mahakamani hoja kadhaa za kisheria na uamuzi ya Mahakama ya Rufani</span> <span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">za ndani na nje ya nchi, ambazo hazikutupilia mbali rufani ambazo zilikuwa na upungufu mdogo, kwani lengo la mahakama hizo ni kutafuta haki.</span></span></span></span><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"> <span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">“Siyo kila kasoro au usumbufu kwenye hukumu unaweza kusababisha kutupwa rufani kwani kasoro zote zilizotajwa ni za makosa na uchapaji na nyingine ni za kiutaratibu tu,” alisema. Alifafanua kuwa makosa ambayo yanaweza kusababisha rufani kutupwa ni kama aina namba ya kesi, majina na wadhifa wa wadau katika shauri husika, mambo yanayolalamikiwa na mahakama imeamua nini</span>. </span></span><br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Wakili huyo alifafanua kuwa jambo la kukosekana mhuri wa mahakama wa Jaji siyo kubwa na kusababisha kutupwa rufani kwani hakuna ambaye anapinga hukumu iliyowasilishwa mahakamani. Kwa upande wake, Wakili Mwandamizi wa Serikali, Vitalis Timoth alisema anaunga mkono hoja za mawakili wa Lema, kuwa pingamizi ya wakili Mughwai haina msingi wa kisheria.</span> </span></span><br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Alisema hati ya kukaza hukumu (Tuzo) inatolewa chini ya sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai na siyo chini ya sheria ya masijala za mahakama. Alisema siyo kazi ya jaji aliyetoa hukumu, kuweka mhuri hukumu yake bali hiyo ni kazi ya msajili wa mahakama na masijala za mahakama.</span></span></span><br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"> “<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Kama hati ya kukaza hukumu ina matatizo anayepaswa kulaumiwa siyo mawakili bali ni mahakama ambayo ndiyo ilikuwa na mamlaka ya kuweka mhuri,” alisema. Alidai kuwa pingamizi ya awali ya rufani inapaswa kuwa na sifa mbili, kwanza iwe na suala la kisheria na pili iendane na kesi ya msingi.“Katika hoja za wakili Mughwai ni wazi inathibitika pingamizi hili halina matakwa ya kisheria kwani hata kama ikipitwa siyo kuwa itazuia kurejeshwa tena na kusikilizwa kwa rufani ya msingi.”Alidai ni busara kuacha kuwa na pingamizi ambazo zinaongeza gharama za kesi na muda wa kusikiliza</span>.</span></span><br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"> “<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Ushauri wangu kila shauri liamuliwe kwa mazingira yake na uamuzi wa sasa uzingatie mahakama katika kutenda haki,” aliongeza. Alidai kwamba kutupwa kwa hoja ya kutaka waomba rufani wachapwe mijeledi kwani kazi ya mahakama</span> <span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">siyo kuchapa watu bali ni kutoa haki.“Tunashauri kusikilizwa rufani kwa kuzingatia sheria na ushahidi,” alisema. Jopo la Majaji Baada ya kutolewa kwa hoja za pande zote za mawakili, Jaji Chande na Jaji Massati waliwauliza maswali kadhaa mawakili hao na kujieleza na baadaye Jaji Chande alitangaza kuahirishwa kwa kesi hiyo hadi hapo itakapotangazwa. Jaji Chande alisema vikao vya Mahakama ya Rufani Kanda ya Arusha vimemalizika jana, hivyo uamuzi wa kutupwa kwa pingamizi la rufani hiyo au la utatolewa siku itakayopangwa na mahakama</span>.</span></span><br /><br /><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"> <span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Baada ya uamuzi huo umati wa wafuasi wa Chadema, uliokuwa ndani na nje ya mahakama ulianza kuimba nyimbo mbalimbali kama vile Lema Jembe na bila Lema patachimbika. Katika hatua ya kuepuka vurugu, Lema alizungumza na wafuasi hao nje ya mahakama na kuwataka kuondoka kwa amani kwenda katika ofisi ya Chadema iliyopo Ngarenaro kwa amani bila vurugu</span>. </span></span><br /><br /><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">Warufaniwa katika kesi hiyo ni makada wa CCM, Happy Kivuyo, Mussa Mkanga na Agnes Mollel ambao walishinda kesi ambayo hukumu yake ilimvua ubunge Lema Aprili 4, mwaka huu</span>.</span></span></span></span><br />
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-family: Arial; font-size: medium;"></span><br /></span><span style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif;"><span style="font-size: medium;"> Chanzo: <a href="http://www.mwananchi.co.tz/habari"><span style="color: #333333;">http://www.mwananchi.co.tz/habari</span></a></span></span></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-70522122102087530022012-10-02T13:04:00.002-07:002012-10-02T13:04:51.806-07:00VIONGOZI WA BAVICHA TAIFA WAALIKWA KUHUDHURIA MKUTANO MKUU WA BARAZA LA VIJANA LA CHAMA TAWALA NCHINI UJERUMANI<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghFjKMhQAG18arsgfUmLbUSXBJuCE_sr2mfoyhgS_bdXlwD7dJJJPe7bnFbVTKbbva4gqUgyXITpt3zYp6n2lbptWk0Ry1W9wxJsD4OCjHTzE2GK0Hc2OU6C2A83tfoK1PC3I9OCaaww/s1600/P10100961.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghFjKMhQAG18arsgfUmLbUSXBJuCE_sr2mfoyhgS_bdXlwD7dJJJPe7bnFbVTKbbva4gqUgyXITpt3zYp6n2lbptWk0Ry1W9wxJsD4OCjHTzE2GK0Hc2OU6C2A83tfoK1PC3I9OCaaww/s1600/P10100961.jpg" /></a></div>
<br />
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Heche na Katibu Mkuu wake Deogratius Munishi wamealikwa na Baraza la vijana la chama tawala nchini Ujerumani kuhudhuria mkutano wake mkuu.<br />Vijana hao wa BAVICHA wamealikwa kama wawakilishi kutoka Tanzania na Africa kwa ujumla.Pia wamepewa heshima kubwa ya kuhutubia mkutano huo mkuu.<br />Mkutano mkuu huo utahudhuriwa na Chancellor wa Ujerumani Bi. Angel Markel.<!-- google_ad_section_end -->Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-32877903496951993402012-10-02T12:24:00.001-07:002012-10-02T12:30:49.553-07:00RUFAA YA MH. GODBLESS LEMA YAAHIRISHWA Yapigwa ‘Kalenda’ <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxsF8KT8OWPaua-SlfAUL9vaWE3PxiUL93w63mzJosqRkid7AW4W0J5JEI_8P5Y67WwjOWHitI9uqf9aiA7rgyaB3bYFGhyphenhypheng3BgN9yFHBvlSfsgTrocim2Y4MSJKgVv1mserNS99VFQQ/s1600/LEMA+4" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxsF8KT8OWPaua-SlfAUL9vaWE3PxiUL93w63mzJosqRkid7AW4W0J5JEI_8P5Y67WwjOWHitI9uqf9aiA7rgyaB3bYFGhyphenhypheng3BgN9yFHBvlSfsgTrocim2Y4MSJKgVv1mserNS99VFQQ/s320/LEMA+4" width="320" /></a></div>
<div style="clear: both; text-align: justify;">
</div>
<div style="clear: both; text-align: justify;">
Kwa mwendelezo wa jinsi kesi iliyokuwa mahakamani na maoni ya watanzania mbalimbali tembelea: <a href="http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/331912-live-updates-mwendelezo-wa-kusikilizwa-rufaa-ya-lema-oktoba-02-2012-a.html">http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/331912-live-updates-mwendelezo-wa-kusikilizwa-rufaa-ya-lema-oktoba-02-2012-a.html</a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
<a name='more'></a><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhP39jAIszaWps1dAm8DB5XG-NcRkSVMJh8ISXqhzVLL67j0uIWfVZS_Mt8hCoOUf9ZiTqsDEKwRLWTix2wNJGcyVTyw15p-bC00PJoTOsKn6QnBMQac5jqUBKVsGyv9Bp3fAdxlJTTtg/s1600/IMG_0035.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhP39jAIszaWps1dAm8DB5XG-NcRkSVMJh8ISXqhzVLL67j0uIWfVZS_Mt8hCoOUf9ZiTqsDEKwRLWTix2wNJGcyVTyw15p-bC00PJoTOsKn6QnBMQac5jqUBKVsGyv9Bp3fAdxlJTTtg/s320/IMG_0035.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUf4FPWkP-plACsj02wSIifq1y0SKzuayC8ZyMy2qudInNgH5_55MmYQ2Ew7mVSrzV7bkLzZ83fnCKi14c7AOxLd_breInTDR9m42J6UUrBolRvI82687Kde_OUhoOMPjab7DmQG_2wQ/s1600/IMG_0032.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUf4FPWkP-plACsj02wSIifq1y0SKzuayC8ZyMy2qudInNgH5_55MmYQ2Ew7mVSrzV7bkLzZ83fnCKi14c7AOxLd_breInTDR9m42J6UUrBolRvI82687Kde_OUhoOMPjab7DmQG_2wQ/s320/IMG_0032.JPG" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPt9yUvbGkrzyEZwTrxuMSpQVAYn2QMWr2MtXVkreUkwQHg2GpxJbE9CkOpC9QocHcuei7IvTC-KzqAsx1BJlmK0Mg4JDXzPhtPQb_n_oni_Jsh4rklB-Sv0NjTPLrUZBbb_vDY8BoTQ/s1600/imagesCAL5FP0Y.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"></a> </div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhN05UFtSgPvCqrZoQdynKordZb5LPGby9k7nV4ywjbcf0FaKmNtA1MUCNkzlMl60eeUJrGEgHdfsZebO_CrQ-4Y1sHDCZIDLF2nF1yEiS9ne6IteKO4T8S-O98v-xcbqkUh1PHo8WZPg/s1600/Picture%2520006.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhN05UFtSgPvCqrZoQdynKordZb5LPGby9k7nV4ywjbcf0FaKmNtA1MUCNkzlMl60eeUJrGEgHdfsZebO_CrQ-4Y1sHDCZIDLF2nF1yEiS9ne6IteKO4T8S-O98v-xcbqkUh1PHo8WZPg/s320/Picture%2520006.jpg" width="320" /></a></div>
<br />Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8418715389905170928.post-4262828889512754412012-10-02T11:50:00.002-07:002012-10-02T11:50:49.967-07:00M4C yazoa makada 201 wa CCM kwa Dk. Magufuli <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgB2i5sPaAXCObspmUQ0W4qrICrvEWrXXbc9IYzn1gBbZ1QUk1QCXY6RZJAzLfxILZOoiQFkrVxsWoOrwkmCwhthH7wdC9FSL2geE9_r6xLiFuyt9cy_FPa3tNJpeWcRJ9pDzIr6sHjpA/s1600/running-marathon-horz.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="116" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgB2i5sPaAXCObspmUQ0W4qrICrvEWrXXbc9IYzn1gBbZ1QUk1QCXY6RZJAzLfxILZOoiQFkrVxsWoOrwkmCwhthH7wdC9FSL2geE9_r6xLiFuyt9cy_FPa3tNJpeWcRJ9pDzIr6sHjpA/s320/running-marathon-horz.jpg" width="320" /></a></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"></span></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mikutano ya Vuguvugu
la Mabadiliko (M4C) inayofanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
wilayani hapa, Mkoa wa Geita, imezoa makada 201wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),
akiwamo Mwenyekiti wa<br />Kitongoji cha Buhungu, Kata ya Kigongo.<br /><br />Makada
waliotimkia Chadema kutoka Jimbo la Chato linalowakilishwa na Waziri wa Ujenzi,
Dk. John Magufuli, kwa nyakati tofauti, wanatoka katika Kijiji cha Muganza,
Kasenga, Busaka na Igando, Kata ya Bwera, ambako chama hicho kimefanya mikutano
ya hadhara.<br /><br />WanaCCM hao walidai wamekihama chama hicho kwa sababu
wamechoshwa na mwenendo wa siasa zake, walizodai zimechangia maisha ya wananchi
kuwa magumu.</span>
</span></div>
<div class="box_wrapper1" style="background-color: white; margin: 6px; text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">
</span><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span></div>
<div class="box_wrapper1" style="background-color: white; margin: 6px; text-align: justify;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;">CHANZO:
NIPASHE</span></span></div>
Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/16295367254638376353noreply@blogger.com0